Samia alia na alama ‘V’
NA SARAH MOSSI, KOROGWE
MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema alama ya ‘V’ haijawahi kushika dola duniani kote.
Samia, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wananchi katika eneo la Mombo akiwa njiani kuelekea wilayani Lushoto.
“Sasa hivi vurugu tupu, utawala wa nchi si wa kujaribu, wapeni wenye uthabiti, waliosimama imara na uwezo ndugu zangu, sumu haionjwi,”alisema Samia.
Mapema akiwahutubia wananchi wa Korogwe mjini katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi, Samia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Matumizi ya alama za vituo
11 years ago
Habarileo09 Apr
NIDA wachukua alama Pemba
MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanza usajili na uchukuaji wa alama za kibayolojia kwa wakazi wa Pemba visiwani Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Wasioona wataka lugha ya alama
MWENYEKITI wa Chama cha Watu Wasioona Tanzania (CWT), Kiongo Itambu, ameiomba serikali kuwatendea haki kwa kuchapisha baadhi ya nyaraka na machapisho muhimu kwa lugha ya alama au nukta mguso. Alisema...
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Wahamiaji watachukuliwa alama za vidole
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Matumizi ya alama katika uandishi
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Sakata la mtafsiri wa lugha ya alama SA