Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasioona wataka lugha ya alama

MWENYEKITI wa Chama cha Watu Wasioona Tanzania (CWT), Kiongo Itambu, ameiomba serikali kuwatendea haki kwa kuchapisha baadhi ya nyaraka na machapisho muhimu kwa lugha ya alama au nukta mguso. Alisema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

11 years ago

BBCSwahili

Sakata la mtafsiri wa lugha ya alama SA

Serikali ya Afrika Kusini imesema kampuni iliyomtoa watafsiri wa lugha za ishara wakati wa ibada ya kumbu kumbu imekuwa akidanganya kwa miaka mingi na imekuwa itoa watafsiri wenye kiwango cha chini.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasioona wataka NEC iwaelimishe

Chama cha Wasioona Tanzania Mkoa wa Shinyanga, kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), itoe elimu ya maandishi ya nukta nundu yatakayotumiwa siku ya uchaguzi na walemavu hao.

 

9 years ago

Habarileo

Wasioona wataka karatasi maalumu za kupigia kura

CHAMA cha Wasioona Tanzania (TLB), kimeomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuandaa karatasi maalumu za kupigia kura kwa wasioona ili kuondoa uwezekano wa mtu aliyeteuliwa kupiga kura kwa niaba ya asiyeona kumrubuni.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu wataka lugha rahisi Katiba Inayopendekezwa

KUNDI la watu wenye ulemavu nchini limeiomba Serikali kuhakikisha linaandika Katiba Inayopendekezwa katika lugha rahisi watakayoielewa ili kuwasaidia kuelewa kilichomo kabla ya kufikia hatua ya kura ya maoni.

 

9 years ago

GPL

KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

10 years ago

Habarileo

Wasioona Tabora wapata uongozi

CHAMA cha Wasioona mkoa wa Tabora kimepata viongozi wapya watakaokiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani