Sakata la mtafsiri wa lugha ya alama SA
Serikali ya Afrika Kusini imesema kampuni iliyomtoa watafsiri wa lugha za ishara wakati wa ibada ya kumbu kumbu imekuwa akidanganya kwa miaka mingi na imekuwa itoa watafsiri wenye kiwango cha chini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1rEqqBcbhMs/VgorNjbgqeI/AAAAAAAH7rE/OBxPAMMg8tk/s72-c/IMG_8183.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Wasioona wataka lugha ya alama
MWENYEKITI wa Chama cha Watu Wasioona Tanzania (CWT), Kiongo Itambu, ameiomba serikali kuwatendea haki kwa kuchapisha baadhi ya nyaraka na machapisho muhimu kwa lugha ya alama au nukta mguso. Alisema...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RVyZE3N-GnYE20dwBv*eNu5ye9WWu3*IW3olnv15GWLIqcJ647xAC7L0zI7LCNPxKe9q7K0w5u4IGxSClQ9tYF8MYIRtsOv8/4.jpg?width=650)
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*4sM22xZ7ytTV6de0TNm85sn0zcrD0rKKp3mXWD4DlcUA9-gwwQDsAGhQRqnG03M7pB2fZCqFpSqdLu5M9yTaAF*07pgScUF/freemasonrydisplay.jpg?width=650)
ALAMA ZINAZOTUMIWA NA FREEMASONS
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Matumizi ya alama za vituo
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Samia alia na alama ‘V’
NA SARAH MOSSI, KOROGWE
MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema alama ya ‘V’ haijawahi kushika dola duniani kote.
Samia, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na wananchi katika eneo la Mombo akiwa njiani kuelekea wilayani Lushoto.
“Sasa hivi vurugu tupu, utawala wa nchi si wa kujaribu, wapeni wenye uthabiti, waliosimama imara na uwezo ndugu zangu, sumu haionjwi,”alisema Samia.
Mapema akiwahutubia wananchi wa Korogwe mjini katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi, Samia...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Matumizi ya alama katika uandishi