Matumizi ya alama katika uandishi
Niliwahi kueleza kuwa mwaka huu wa 2014 uwe ni mwaka wa mapinduzi katika Lugha ya Kiswahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Matumizi ya alama za vituo
Matumizi ya alama za vituo ni mada ambayo nimeandikia makala chache na wiki iliyopita nilieleza juu ya matunizi ya nukta, mkato na nuktapacha. Kwa mwandishi yeyote anayeandika makala au taarifa kwa Kiswahili hana budi kujua matumizi ya alama hizi pamoja na nyingine zinazofuata.      Katika makala haya nataka sasa kuendelea na mada hii kwa kueleza matumizi ya alama nyingine kama alama ya mshangao, kiulizo, mshangao, mabano, na ritifaa.Â
11 years ago
MichuziWANAHABARI KILIMANJARO WAPIGWA MSASA JUU YA MATUMIZI YA INTERNET KWA SHUGHULI ZA UANDISHI WA HABARI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RVyZE3N-GnYE20dwBv*eNu5ye9WWu3*IW3olnv15GWLIqcJ647xAC7L0zI7LCNPxKe9q7K0w5u4IGxSClQ9tYF8MYIRtsOv8/4.jpg?width=650)
KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Umakini katika Uandishi
Siku za hivi karibuni nilipata fursa ya kusoma habari zilizoandikwa katika gazeti moja la Kiswahili kwa umakini mkubwa kwani ilikuwa siku ya Jumapili  ambayo ni siku ya mapumziko. Zilikuwapo kurasa mbili zilizokuwa na makosa mengi ya kizembe. Nimesema ni makosa ya kizembe kwa kuwa waandishi na hata wahariri hawakufanya kazi zao ipasavyo. Hawakujali kutimiza wajibu wao. Ilipasa wahariri wasome makala zilizoandikwa na waandishi ili kurekebisha makosa yaliyo dhahiri ni ya...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Makosa katika uandishi wa Kiswahili
NAPENDA kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa mfululizo ya makala zangu utakuwa ni hazina kubwa kwa walimu, wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu pamoja na wasomaji wa kawaida ambao ni wakereketwa wa Kiswahili. Sasa soma sentensi zifuatazo kwa makini.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Mambo ya msingi katika uandishi wa Kiswahili
Kabla ya kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha. Ni jambo jema kama nitawaleteeni  mawazo hayo ili nanyi muweze kuyatafakari. Kwa mfano mwandishi mmoja mwenye simu na. 0713 614058 aliniandikia, akisema, “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini katika biashara za kimataifa kwa sababu...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili
Napenda kuendelea na makala zangu kuhusu makosa yanayojitokeza katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Mifano ni kama ifuatayo:
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
>KABLA kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s72-c/_75408959_450202030.jpg)
Ingizo jipya katika kombe la dunia Brazil: alama ya chaki ya kupulizia inayoyeyuka....
![](http://3.bp.blogspot.com/-dAHqwhA9cL0/U5pkkZ97xZI/AAAAAAAFqPs/oHH-mMkakQo/s1600/_75408959_450202030.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0XDp8HFEIQk/U5pn7pYAJeI/AAAAAAAFqP4/0xxWNM6zoFA/s1600/_75493664_hi022659618.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania