Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili

Napenda kuendelea na makala zangu kuhusu makosa yanayojitokeza katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Mifano ni kama ifuatayo:

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Makosa katika uandishi wa Kiswahili

NAPENDA kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa mfululizo ya makala zangu utakuwa ni hazina kubwa kwa walimu, wanafunzi wa shule za  msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu pamoja na wasomaji wa kawaida ambao ni wakereketwa wa Kiswahili. Sasa soma sentensi zifuatazo kwa makini.

 

10 years ago

Mwananchi

Makosa katika magazeti ya Kiswahili

KWA kipi   Kwa kipindi kirefu, nimekuwa nikipitia magazeti ya Kiswahili yanayochapishwa hapa nchini. Nimegundua kuwa baadhi ya waandishi na wahariri hawako makini katika matumizi ya Kiswahili fasaha. Pamoja na juhudi zangu za kusahihisha makosa yanayojitokeza katika magazeti, bado juhudi zangu hazijazaa matunda ya kuridhisha. Hii ina maana kuwa wasomaji wangu hasa waandishi wa habari hawasomi makala hizi au hawazingatii maoni yangu. Kwa mfano angalia mifano hapa chini.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayopatikana katika magazeti ya Kiswahili.

Kama alivyo Sheikh,  Mchungaji au Padre,  kwamba  kila mara wanawahubiria  waumini wao  ili wawe  kwenye mstari  katika imani zao bila kutetereka.  nami pia napenda kuendelea  na maelezo  yangu  kuhusu njia za kuepuka makosa yanayojitokeza katika uandishi kwa jumla maelezo yangu ijapokuwa  yangu hayahusiani na imani.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

Mwananchi

Magazeti ya Kiswahili yanafanya makosa ya kizembe

Katika mapitio ya magazeti ya Kiswahili bado makosa yanaonekana na hivyo hatuna budi kukemea pale ambapo makosa yenyewe ni ya kizembe. Nimetumia maneno ‘ya kizembe’ kwa sababu ni aibu kwa mwandishi kuandika neno kujiuzuru badala ya kujiuzulu kwa sababu matumizi ya herufi  /l/ na /r/  ni tofauti. Hivyo kuyachanganya ni uzembe kwani tunapokuwa na wasiwasi tunatumia kamusi. Je, wewe mwandishi wa makala au wa habari unayo kamusi ya Kiswahili. Kama huna jitahidi ununue moja...

 

9 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi katika uandishi wa Kiswahili

Kabla ya kuanza makala yangu,  napenda  kuwafahamisha  wasomaji  wangu kuwa  baadhi yao wameniletea   maoni na mawazo  kuhusu mambo mbalimbali ya  msingi katika  lugha.  Ni jambo jema  kama nitawaleteeni   mawazo  hayo  ili nanyi muweze  kuyatafakari.  Kwa mfano  mwandishi mmoja  mwenye  simu na. 0713 614058 aliniandikia,  akisema,  “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini  katika biashara za kimataifa  kwa sababu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili

>KABLA kuanza makala yangu,  napenda  kuwafahamisha  wasomaji  wangu kuwa  baadhi yao wameniletea   maoni na mawazo  kuhusu mambo mbalimbali ya  msingi katika  lugha.

 

10 years ago

Mwananchi

Makosa katika Kiswahili

a kuanza makala yangu kwa kutoa maoni machache ya wasomaji  wa makala zangu ambao baadhi yao wametoa maoni binafsi. Baadaye nitaendelea kuyapitia magazeti ya Kiswahili kwa kuchunguza makosa yaliyojitokeza na kutoa mapendekezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Makosa katika Magazeti

“ Alitaka mabadiliko ya teknologia ya muundo wa meli nyingi mpya ambazo zinajengwa huku haziwekewi vifaa vya kupakuwa mizigo kuwa ni tatizo jingine.” Inatakiwa kuandika upya sentensi hii ili kuleta maana iliyokusudiwa. Kwa mfano maneno ‘huku haziwekewi vifaa vya kupakuliwa’ ilipaswa kuandikwa ‘bila kuwekewa…” Pia neno ‘teknologia lilitakiwa kuandikwa ‘teknolojia’. Tatu, kupakiwa lingeandikwa ‘kupakua’ kwani tahajia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani