Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makosa katika Magazeti

“ Alitaka mabadiliko ya teknologia ya muundo wa meli nyingi mpya ambazo zinajengwa huku haziwekewi vifaa vya kupakuwa mizigo kuwa ni tatizo jingine.” Inatakiwa kuandika upya sentensi hii ili kuleta maana iliyokusudiwa. Kwa mfano maneno ‘huku haziwekewi vifaa vya kupakuliwa’ ilipaswa kuandikwa ‘bila kuwekewa…” Pia neno ‘teknologia lilitakiwa kuandikwa ‘teknolojia’. Tatu, kupakiwa lingeandikwa ‘kupakua’ kwani tahajia...

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Makosa katika magazeti ya Kiswahili

KWA kipi   Kwa kipindi kirefu, nimekuwa nikipitia magazeti ya Kiswahili yanayochapishwa hapa nchini. Nimegundua kuwa baadhi ya waandishi na wahariri hawako makini katika matumizi ya Kiswahili fasaha. Pamoja na juhudi zangu za kusahihisha makosa yanayojitokeza katika magazeti, bado juhudi zangu hazijazaa matunda ya kuridhisha. Hii ina maana kuwa wasomaji wangu hasa waandishi wa habari hawasomi makala hizi au hawazingatii maoni yangu. Kwa mfano angalia mifano hapa chini.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayopatikana katika magazeti ya Kiswahili.

Kama alivyo Sheikh,  Mchungaji au Padre,  kwamba  kila mara wanawahubiria  waumini wao  ili wawe  kwenye mstari  katika imani zao bila kutetereka.  nami pia napenda kuendelea  na maelezo  yangu  kuhusu njia za kuepuka makosa yanayojitokeza katika uandishi kwa jumla maelezo yangu ijapokuwa  yangu hayahusiani na imani.

 

11 years ago

Mwananchi

Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili

Napenda kuendelea na makala zangu kuhusu makosa yanayojitokeza katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Mifano ni kama ifuatayo:

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

Mwananchi

Magazeti ya Kiswahili yanafanya makosa ya kizembe

Katika mapitio ya magazeti ya Kiswahili bado makosa yanaonekana na hivyo hatuna budi kukemea pale ambapo makosa yenyewe ni ya kizembe. Nimetumia maneno ‘ya kizembe’ kwa sababu ni aibu kwa mwandishi kuandika neno kujiuzuru badala ya kujiuzulu kwa sababu matumizi ya herufi  /l/ na /r/  ni tofauti. Hivyo kuyachanganya ni uzembe kwani tunapokuwa na wasiwasi tunatumia kamusi. Je, wewe mwandishi wa makala au wa habari unayo kamusi ya Kiswahili. Kama huna jitahidi ununue moja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani  Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).

Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.

Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...

 

10 years ago

Mwananchi

Makosa katika Kiswahili

a kuanza makala yangu kwa kutoa maoni machache ya wasomaji  wa makala zangu ambao baadhi yao wametoa maoni binafsi. Baadaye nitaendelea kuyapitia magazeti ya Kiswahili kwa kuchunguza makosa yaliyojitokeza na kutoa mapendekezo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni makosa kulindana katika maovu

Hali bungeni Dodoma juzi Ijumaa haikuwa shwari. Haikuwa shwari kwa sababu baadhi ya wabunge walihisi kama kuna njama za kuigubika haki.

 

9 years ago

Mwananchi

Makosa katika uandishi wa Kiswahili

NAPENDA kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa mfululizo ya makala zangu utakuwa ni hazina kubwa kwa walimu, wanafunzi wa shule za  msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu pamoja na wasomaji wa kawaida ambao ni wakereketwa wa Kiswahili. Sasa soma sentensi zifuatazo kwa makini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani