Ni makosa kulindana katika maovu
Hali bungeni Dodoma juzi Ijumaa haikuwa shwari. Haikuwa shwari kwa sababu baadhi ya wabunge walihisi kama kuna njama za kuigubika haki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 May
Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
10 years ago
Mwananchi25 May
Makosa katika Kiswahili
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Makosa katika Magazeti
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Makosa katika uandishi wa Kiswahili
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Makosa katika magazeti ya Kiswahili
10 years ago
Mtanzania08 May
Pluijm: Sitofanya makosa katika usajili
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema hatofanya makosa katika usajili wa wachezaji kuelekea katika msimu mpya wa Ligi `Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa, kwani malengo yake ni kuona timu yake inaendelea kuwa tishio.
Yanga ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam katika mchezo uliyofanyika juzi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anapenda kuwa makini sana unapofika wakati wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdh115kuj8PGKviYSrgzZ*ADE4YbS1ny8dheqTtABciP916tOJnTXYW-phXv-UAyNSRTEf3iZKjC3ZT7AIoUQi3/mahaba.jpg)
MAKOSA YA WANAWAKE, WANAUME KATIKA KURIDHISHANA
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Baadhi ya makosa yanayopatikana katika magazeti ya Kiswahili.