Pluijm: Sitofanya makosa katika usajili
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema hatofanya makosa katika usajili wa wachezaji kuelekea katika msimu mpya wa Ligi `Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa, kwani malengo yake ni kuona timu yake inaendelea kuwa tishio.
Yanga ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam katika mchezo uliyofanyika juzi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anapenda kuwa makini sana unapofika wakati wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Dec
Pluijm afichua siri ya usajili
KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Pluijm asitisha usajili mpya Yanga
10 years ago
Dewji Blog15 May
Masahihisho katika taarifa ya Uteuzi wa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai na Mkurugenzi wa Intelijensia katika Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa Kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Isaya J. Mngulu ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Makosa katika Magazeti
10 years ago
Mwananchi25 May
Makosa katika Kiswahili
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Makosa katika uandishi wa Kiswahili
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Makosa katika magazeti ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Ni makosa kulindana katika maovu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzdh115kuj8PGKviYSrgzZ*ADE4YbS1ny8dheqTtABciP916tOJnTXYW-phXv-UAyNSRTEf3iZKjC3ZT7AIoUQi3/mahaba.jpg)
MAKOSA YA WANAWAKE, WANAUME KATIKA KURIDHISHANA