Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm asitisha usajili mpya Yanga

Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesitisha mchakato wa usajili mpya kwenye kikosi chake kwa kile kilichoelezwa hadi atakapofikia muafaka na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Pluijm amchambua streka mpya Yanga

KOCHA Hans van der Pluijm wa Yanga, amesema atahakikisha anazingatia vitu vya msingi kupima uwezo wa mshambuliaji Mniger, Issoufou Boubacar Garba, kabla ya kumpa mkataba wa kukichezea kikosi chake katika michuano mbalimbali watakayoshiriki.

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm afichua siri ya usajili

KOCHA wa Yanga Mholanzi Hans van der Pluijm, ameweka wazi sababu ya kuendelea kusajili kwenye dirisha dogo ni kuifanya timu hiyo iwe bora Afrika. Alisema lengo ni kuepuka kikosi chake kutegemea baadhi ya wachezaji pindi wanapokuwa katika ushindani mkubwa kama ilivyo sasa.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm: Sitofanya makosa katika usajili

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema hatofanya makosa katika usajili wa wachezaji kuelekea katika msimu mpya wa Ligi `Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa, kwani malengo yake ni kuona timu yake inaendelea kuwa tishio.
Yanga ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam katika mchezo uliyofanyika juzi Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anapenda kuwa makini sana unapofika wakati wa...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C asitisha kuachia wimbo mpya kufuatia msiba wa Aisha Madinda

Rehema Chalamila aka Ray C ameamua kuahirisha kuachia wimbo wake mpya kufuatia kifo cha mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa imembidi asitishe kusambaza wimbo huo ambao ulikuwa utoke leo na usambazwe kwenye vituo vyote vya radio. “Nikiwa kama msanii kutokana na msiba wa msanii mwenzetu Aisha Madinda,” amesema. […]

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm ashtuka Yanga

hans_clipJENNIFER ULLEMBO NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
WAKATI klabu ya Yanga ikiendelea kusajili nyota wake kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa timu hiyo Mholanzi, Hans Van der Pluijm, amewashtukia viongozi wa timu hiyo akieleza anahisi baadhi ya wachezaji waliosajiliwa hadi sasa hakuwapendekeza katika ripoti yake.
Klabu hiyo hadi sasa imefanikiwa kupata saini za wachezaji watatu ambao ni Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City, Haji Mwinyi wa Zanzibar na Benedicto Tinoco kutoka Kagera...

 

9 years ago

Habarileo

Pluijm: Yanga bingwa

KOCHA wa Yanga, Hans van der Pluijm, amesema timu yake bado ina nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu na kwamba haoni sababu ya mashabiki wa timu hiyo kuwa na hofu. Kwa sasa, Yanga iko katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ikiwa na pointi 23, kileleni ikiwemo Azam yenye pointi 25.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm adai mshahara Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga, Hans van Pluijm ameishitaki klabu hiyo kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushindwa kumlipa mshahara wake wa mwezi huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm: Wachezaji Yanga wazembe

>Kocha wa Yanga, Hans der  Van Pluijm amesema uzembe wa baadhi ya wachezaji wake unaigharimu timu hiyo katika harakati zake za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu; huku akiwataka washambuliaji wake kubadilika.

 

11 years ago

Mwananchi

Pluijm mwanachama hai Yanga

Uongozi wa Yanga jana uliandaa sherehe fupi ya kumuaga aliyekuwa kocha wao, Hans Pluijm, lakini naye ameahidi kuwa mwanachama hai wa klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani