Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C asitisha kuachia wimbo mpya kufuatia msiba wa Aisha Madinda

Rehema Chalamila aka Ray C ameamua kuahirisha kuachia wimbo wake mpya kufuatia kifo cha mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa imembidi asitishe kusambaza wimbo huo ambao ulikuwa utoke leo na usambazwe kwenye vituo vyote vya radio. “Nikiwa kama msanii kutokana na msiba wa msanii mwenzetu Aisha Madinda,” amesema. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

RAY C AAHIRISHA KUSAMBAZA NGOMA YAKE MPYA KUPISHA MSIBA WA AISHA MADINDA

STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’ ameahirisha kuisambaza ngoma yake kwenye vituo vya redio kupisha msiba wa rafiki yake wa siku nyingi marehemu Aisha Madinda,ngoma hiyo inaitwa Nishum Shum tayari ipo kwenye mitandao.

Kupitia Instagram Ray C aliandika hivi...Nenda Dada yangu nenda! Nakumbuka tulikutana Kanisani Tabata ukanishuhudia Kwamba umeweza kuacha madawa ya kulevya na miguu yako imepona Kabisa kwa imani na mola na kwa maombezi ya nabii Joseph, nilipokuona ulivyokuwa...

 

10 years ago

GPL

MSIBA WAMSOTESHA AISHA MADINDA DUBAI

Stori: Gladness Mallya ZOEZI alilokuwa akilifanya Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka la kufanya mpango wa kumrudisha nchini mnenguaji Aisha Madinda amelisitisha kwa muda baada ya kupata msiba mzito wa mdogo wake na kumfanya mwanadada huyo aendelee kusota Dubai. Mnenguaji  wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda . Akizungumza na gazeti hili, Asha alisema alipata msiba wa mdogo wake...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C kuachia wimbo mpya MshumMshum (kiss kiss) November hii

Licha ya kuwa nje ya muziki kwa muda mrefu lakini Ray C amesema anatarajia kuachia singo mpya aliyoipa jina la ‘MshumMshum (kiss kiss) Vovember hii. Kupitia Instagram Ray C ameandika jinsi alivyoimiss mic na jukwaa, “Hello to all my fans around the world!kiukweli nimemiss sana jukwaa na Mic……….I just can’t wait to release my new […]

 

9 years ago

Mtanzania

Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo

Wangechi na Ne YoNAIROBI, KENYA

MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.

Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.

“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Rais Museveni kuachia wimbo mpya

Yoweri_MuseveniKAMPALA, UGANDA

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao ameupa jina la ‘Kwezi’ utakaokuwa unachangia shughuli za kampeni za uchaguzi.

Kwezi utakuwa ni wimbo wake wa tatu ndani ya miaka mitano mara baada ya kuachia wimbo wa Mpenkoni, ambao ulitumika sana katika kampeni za uchaguzi mwaka 2011.

Mpaka sasa rais huyo hajapanga siku ya kuuachia, lakini inasemekana ni siku za hivi karibuni kwa kuwa tayari amekaa na baadhi ya wataalamu wa muziki na kuupitia wimbo...

 

5 years ago

Michuzi

MSANII WA NIGERIA OLAKIRA KUACHIA WIMBO MPYA WA ‘IN MY MASERATI’



MSANII nyota wa miondoko ya Afro Pop, Pop na RnB kutoka Nchini Nigeria, Adefemi Ebenezer maarufu kama Olakira   Ijumaa ya 26 Juni anatarajia rasmi kuachia wimbo mpya wa ‘In my Maserati’.  Olakira anayetamba na nyimbo bora mbalimbali zikiwemo  ‘Aya Mi’,  ‘Wakanda Jollof na zingine nyingi ambapo kwa sasa anakuja ba ujio mpya wa wimbo wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani