Rais Museveni kuachia wimbo mpya
KAMPALA, UGANDA
RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao ameupa jina la ‘Kwezi’ utakaokuwa unachangia shughuli za kampeni za uchaguzi.
Kwezi utakuwa ni wimbo wake wa tatu ndani ya miaka mitano mara baada ya kuachia wimbo wa Mpenkoni, ambao ulitumika sana katika kampeni za uchaguzi mwaka 2011.
Mpaka sasa rais huyo hajapanga siku ya kuuachia, lakini inasemekana ni siku za hivi karibuni kwa kuwa tayari amekaa na baadhi ya wataalamu wa muziki na kuupitia wimbo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.
Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.
“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lO1nR1WSZXvwcdj99TuuPqxi18MC2wwICQqN7c6Rs1jmUfyu-xLyvbnjg93J25kgBhKSwXWhT6L8jzTJOi16f0xb8TOa5C5-/amini80.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Jul
''Museveni'' atoa wimbo mpya wa kampeni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII WA NIGERIA OLAKIRA KUACHIA WIMBO MPYA WA ‘IN MY MASERATI’
![](https://1.bp.blogspot.com/-8fVgWl7OpGg/XvX58j4f0FI/AAAAAAALvk8/6JLpDswIEIMNViZCbDU6JnqMDPOytcetwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200625-WA0575.jpg)
MSANII nyota wa miondoko ya Afro Pop, Pop na RnB kutoka Nchini Nigeria, Adefemi Ebenezer maarufu kama Olakira Ijumaa ya 26 Juni anatarajia rasmi kuachia wimbo mpya wa ‘In my Maserati’. Olakira anayetamba na nyimbo bora mbalimbali zikiwemo ‘Aya Mi’, ‘Wakanda Jollof na zingine nyingi ambapo kwa sasa anakuja ba ujio mpya wa wimbo wake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-59KCcYHtFCw/VQKPfW606II/AAAAAAAHKAM/ItR3nb1bgL0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
DMV ALL STARS (USA) KUACHIA WIMBO MPYA WA ” NAJIVUNIA”
![](http://1.bp.blogspot.com/-59KCcYHtFCw/VQKPfW606II/AAAAAAAHKAM/ItR3nb1bgL0/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
9 years ago
Bongo508 Oct
Roma atangaza kuachia wimbo mpya October 25 siku ya uchaguzi
9 years ago
Bongo501 Oct
Q Chief kuachia wimbo mpya baada ya uchaguzi, unaitwa ‘Chawa’