Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umakini katika Uandishi

Siku za hivi karibuni nilipata fursa ya kusoma habari zilizoandikwa katika gazeti moja la Kiswahili kwa umakini mkubwa kwani ilikuwa siku ya Jumapili   ambayo ni siku ya mapumziko.  Zilikuwapo kurasa mbili zilizokuwa na makosa mengi ya kizembe.  Nimesema ni makosa ya kizembe kwa kuwa waandishi na hata wahariri hawakufanya kazi zao ipasavyo. Hawakujali kutimiza wajibu wao. Ilipasa wahariri wasome makala zilizoandikwa na waandishi ili kurekebisha makosa yaliyo dhahiri ni ya...

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

RPC ataka umakini uandishi wa ugaidi

KAMANDA wa Polisi mkoani Dodoma David Misime ameonesha hofu ya kuripotiwa kwa taarifa za kigaidi zisizo na uhakika.

 

11 years ago

Ykileo

KUNAHITAJIKA UWEPO WA UMAKINI KATIKA KUTOA TAARIFA BINAFSI MITANDAONI

Katika Muendelezo wa Kuelimisha Jamii jinsi ya kubaki salama mitandaoni leo najikita katika maswala ya USIRI “PRIVACY” ambapo taarifa nyingi za mtu binafsi si vyema kuwekwa mitandaoni napia maelezo mafupi ya namna wahalifu mtandao wanatumia taarifa hizo za siri mitandaoni kuleta madhara.



Njia za awali ambazo wahalifu mtandao wanatumia kabla ya kusababisha madhara ni kukusanya taarifa za mhusika ambaye wanategemea kumdhuru kwa njia inayojulikana kitaalam kama “RECONNAISSANCE” ambapo mara...

 

11 years ago

Mwananchi

Matumizi ya alama katika uandishi

Niliwahi kueleza kuwa mwaka huu wa 2014 uwe ni mwaka wa mapinduzi katika Lugha ya Kiswahili.

 

9 years ago

Mwananchi

Makosa katika uandishi wa Kiswahili

NAPENDA kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa mfululizo ya makala zangu utakuwa ni hazina kubwa kwa walimu, wanafunzi wa shule za  msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu pamoja na wasomaji wa kawaida ambao ni wakereketwa wa Kiswahili. Sasa soma sentensi zifuatazo kwa makini.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI MGODI WA NORTH MARA WATUZWA KWA UMAHIRI NA UMAKINI KATIKA KAZI

Meneje Mkuu wa Mgodi wa North Mara, Gary Chapman, akizungumza kwenye hafla ya awamu ya pili ya utoaji tuzo za umahiri mwaka 2014 (CEO Excellence Awards 2014), iliyofanyika Jumanne usiku Machi 23, 2014, kwenye mgodi huo ulioko Nyamongo, wilayani Tarime mkoa wa Mara.Meneja mkuu wa mgodi wa North Mara, Gary Chapman, (kushoto), akishuhudia wakati Le Poer Trench, (katikati) na Albert Rudman, wakionyesha tuzo za umahiri za mwaka 2014, (CEO ECellence Aawards 2014), walizopokea kwa niaba ya idara ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi katika uandishi wa Kiswahili

Kabla ya kuanza makala yangu,  napenda  kuwafahamisha  wasomaji  wangu kuwa  baadhi yao wameniletea   maoni na mawazo  kuhusu mambo mbalimbali ya  msingi katika  lugha.  Ni jambo jema  kama nitawaleteeni   mawazo  hayo  ili nanyi muweze  kuyatafakari.  Kwa mfano  mwandishi mmoja  mwenye  simu na. 0713 614058 aliniandikia,  akisema,  “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini  katika biashara za kimataifa  kwa sababu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili

>KABLA kuanza makala yangu,  napenda  kuwafahamisha  wasomaji  wangu kuwa  baadhi yao wameniletea   maoni na mawazo  kuhusu mambo mbalimbali ya  msingi katika  lugha.

 

11 years ago

Mwananchi

Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili

Napenda kuendelea na makala zangu kuhusu makosa yanayojitokeza katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Mifano ni kama ifuatayo:

 

9 years ago

Mwananchi

Uandishi usio uandishi wa habari

Kama kuna uandishi wa habari ambao utachukiza na hata kuchefua wasomaji na wasikilizaji Jumapili hii, ni unaofanana na huu hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani