KUNAHITAJIKA UWEPO WA UMAKINI KATIKA KUTOA TAARIFA BINAFSI MITANDAONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eer2ytFPpY4/U0GiHIoFS0I/AAAAAAAAANI/3xOJtGBmbEQ/s72-c/1.jpg)
Katika Muendelezo wa Kuelimisha Jamii jinsi ya kubaki salama mitandaoni leo najikita katika maswala ya USIRI “PRIVACY” ambapo taarifa nyingi za mtu binafsi si vyema kuwekwa mitandaoni napia maelezo mafupi ya namna wahalifu mtandao wanatumia taarifa hizo za siri mitandaoni kuleta madhara.
Njia za awali ambazo wahalifu mtandao wanatumia kabla ya kusababisha madhara ni kukusanya taarifa za mhusika ambaye wanategemea kumdhuru kwa njia inayojulikana kitaalam kama “RECONNAISSANCE” ambapo mara...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TZ3PKmAV-XY/U0HVtTcax_I/AAAAAAAFZF0/mUI6Ufle6K8/s72-c/unnamed+(53).jpg)
SOMO LA BURE LA LEO: KUWA MAKINI KATIKA KUTOA TAARIFA BINAFSI MITANDAONI
Na ticha Yusuph Kileo.
Katika Muendelezo wa Kuelimisha Jamii jinsi ya kubaki salama mitandaoni, leo najikita katika maswala ya USIRI (PRIVACY) ambapo taarifa nyingi za mtu binafsi si vyema kuwekwa mitandaoni na pia maelezo mafupi ya namna wahalifu mtandao wanatumia taarifa hizo za siri mitandaoni kuleta madhara.
Njia za awali ambazo wahalifu mtandao wanatumia kabla ya kusababisha madhara ni kukusanya taarifa za mhusika ambaye wanategemea kumdhuru kwa njia inayojulikana kitaalam kama...
11 years ago
Habarileo20 Jul
Mhadhiri ataka umakini sekta binafsi kuboresha elimu
IMEELEZWA kuwa ni hatari uwekezaji kwenye elimu nchini kufanywa na watu wasio na elimu ili mradi awe na pesa za majengo na vifaa mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi12 Apr
HOJA BINAFSI: Mabloga zingatieni maadili kuheshimu picha za marehemu mitandaoni
>Raha ya kipindi tunachoishi sasa ni wepesi wa mawasiliano. Mawasiliano ya haraka kwa simu za mkononi, habari kusambaa, mitandao kutupasha yaliyotokea, ghafla bin vuu. Hakuna linalofanyika hadharani likapita, vuum, siku hizi. Iwe umbea au udaku; serikali, mazuri au kashfa, gharika au tufani; ili mradi...Buum! Hiyo hapo machoni.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHx5B9NhJKfqyM6kbVfnQ-SHim14m6pIgUHyvmJJe5HqKSF4co57fn6C-vb2yGWsnrouXlBYrxHDfk-ZylbkmnWi/wats.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi29 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YJPKGDa6AkY/Xm_Y7mkPHVI/AAAAAAALj_o/F9r_NNGKXogMZYhjUODh3z1D4omEC_v9wCLcBGAsYHQ/s72-c/61169a4f-356e-4270-8205-7564401a787f.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-27veS0ydI2k/Xtx-utuNuQI/AAAAAAALs3c/Sms3rAfQ_cQpGaVV_tpl2Yjo_pawEXSAgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0_k9QstN5j8/VnVJnY3leHI/AAAAAAAINac/ekHc3AW2WBI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-19%2Bat%2B3.11.16%2BPM.png)
JESHI LAWASAKA WALIOENEZA TAARIFA ZA UZUSHI MITANDAONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0_k9QstN5j8/VnVJnY3leHI/AAAAAAAINac/ekHc3AW2WBI/s640/Screen%2BShot%2B2015-12-19%2Bat%2B3.11.16%2BPM.png)
Miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na taarifa kuhusu Jeshi la Polisi iliyosambazwa jana katika mitandao ya kijamii yenye kichwa cha habari ‘chujio Jesho la polisi, vyeti feki vyawaonndoa askari kazini’ Taarifa hiyo ni uzushi na hajatolewa na...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Umakini katika Uandishi
Siku za hivi karibuni nilipata fursa ya kusoma habari zilizoandikwa katika gazeti moja la Kiswahili kwa umakini mkubwa kwani ilikuwa siku ya Jumapili  ambayo ni siku ya mapumziko. Zilikuwapo kurasa mbili zilizokuwa na makosa mengi ya kizembe. Nimesema ni makosa ya kizembe kwa kuwa waandishi na hata wahariri hawakufanya kazi zao ipasavyo. Hawakujali kutimiza wajibu wao. Ilipasa wahariri wasome makala zilizoandikwa na waandishi ili kurekebisha makosa yaliyo dhahiri ni ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania