Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasioona Tabora wapata uongozi

CHAMA cha Wasioona mkoa wa Tabora kimepata viongozi wapya watakaokiongoza chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Umoja wa Watanzania Ethiopia wapata uongozi mpya

 Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia akiwa na viongozi wapya wa Jumuiya ya Watanzania Ethiopia (UDUGU). Wa pili kushoto ni Dr. Naftali Kilenga ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti, na wa kwanza kulia ni Dr. Florence Temu, ambaye amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti. Wa kwanza kushoto ni Bw. E. Lubuva ambaye amechaguliwa tena kuendelea kuwa Katibu wa UDUGU. Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwa na Mwenyekiti Mpya Dr. Naftali Kilenga kushoto, na kulia kwake ni Bibi Josephine Marialle...

 

10 years ago

Vijimambo

UONGOZI WA JUU WA ACT WAPATA MAPOKEZI MAKUBWA SONGEA

Vingozi wa ACT-Wazalendo wakiangalia picha za makumbusho ya vita vya majimaji.Pikipiki ambazo ziliongoza mapokezi hayo zikiwa katika msafara.Viongozi wa Juu wa chama cha ACT wakiimba na kucheza jukwaani kwa furaha ya mapokezi makubwa waliyo yapata mkoani Songea.Zitto Kabwe akiwa jukwaani akisalimia wana Songea.
Msanii wa Bongo Fleva, Afande Sele, Mbunge Mtarajwa wa Jimbo la Morogoro Mjini, akiwahutubia wakazi wa mji wa Songea.Mwenyekiti Anna Mngwira, baada ya Kuzindua ofisi za Mkoa za...

 

5 years ago

Michuzi

Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora



 Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula

Wilaya ya Uyui ni moja kati ya wilaya saba za mkoa wa Tabora na inaundwa na kata 29, vijiji 156 na vitongoji 688. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya hii ina jumla ya wakazi 396,623 kwa maana ya wanaume 196,446, wanawake 200,177 na kuna wastani wa watu 6.6 katika kila kaya.

 

10 years ago

Habarileo

USAID yawapiga jeki wasioona

CHAMA cha Walemavu Wasioona nchini hapa (ZANAB) wamepokea msaada wa vifaa vya kompyuta vinavyotafsiri maneno ya kawaida kwenda kwenye mfumo wa brail, unaotumiwa na walemavu hao kufahamu maneno yaliyoandikwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasioona wataka NEC iwaelimishe

Chama cha Wasioona Tanzania Mkoa wa Shinyanga, kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), itoe elimu ya maandishi ya nukta nundu yatakayotumiwa siku ya uchaguzi na walemavu hao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasioona wataka lugha ya alama

MWENYEKITI wa Chama cha Watu Wasioona Tanzania (CWT), Kiongo Itambu, ameiomba serikali kuwatendea haki kwa kuchapisha baadhi ya nyaraka na machapisho muhimu kwa lugha ya alama au nukta mguso. Alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu wa fimbo nyeupe kwa wasioona

BADO watu wenye ulemavu mbalimbali wakiwemo wasioona, wanakabiliwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao kila siku. Walemavu wasioona hulazimika kutembea na wasaidizi wao katika kufanisha majukumu yao mbalimbali. Licha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani