DIAMOND AJIFUNZA UCHAWI
![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3M0sFiGpKtUGC08UkIYsLbn84aoIILFSaJQWW5XcFJHisA*Y7m4aGCrJKZ8QSWBpS8FIoMyDT6AbVSQaYnm4FST/Diamond.gif?width=650)
Mwandishi Wetu Nyuma ya safari za mara kwa mara za Mbongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ za nchini Nigeria, kumeibuka madai mazito kuwa, anapokwenda huko hufundishwa mbinu za uchawi ili kukubalika duniani kama mastaa wa huko, Risasi Jumatano limenyetishwa. Kwa mujibu wa chanzo kimoja, Diamond anafundishwa uchawi na Wanigeria kwani ndiyo taswira ya sanaa yao inavyoakisi duniani ambapo ukiwa nchi nyingine...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OBVF16y-PPK*ug5Rv9yTNXaAAqH330a3hMV1X2BT9G4sosL7dp12pSHmkJDmm3OJGqyQflreYgq1Uj6YWHAX-LvCk1cZ4lwp/ww.jpg)
DIAMOND, KIBA UCHAWI MTUPU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtpVyu5KXYRazgP8cqNWOCjKZG5c9cMAeZFHB9oIbwQYtH4zrVEhsNozudA65Lz8pLke70JqCD-3v*DkEmip5Q6x/UCHAWI.jpg?width=650)
PENZI LA WEMA, DIAMOND...UCHAWI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R1kSp2CDEW8ekiUTvI2iKNGFBOKGLZspxsNDps40l5-z0ulwCdmi*dkEWlpUMlRHRfUsJGgQ4hJoEHzh5k4-FeW/babymadaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA AMSHIKA UCHAWI DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKPT2NHufWUAgVUG6G1H7qTJpq52sxANryc5SMYEE5uInsYXKzN3GmlG*r9cpEOq7JoUICU5ltgihsoJlKEQzY78/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s72-c/Planets.jpg)
UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-uBk0ucRwM6s/VLxHl68lPpI/AAAAAAADWFY/Lr1IwFNfIAo/s1600/Planets.jpg)
Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Komando Jide ajifunza kareti
MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au ‘Komando’ amesema anataka kuliweka jina lake la Komando kuwa na maana kwa kuanza kujifunza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G4QhErsz3t*ajD0I43hBC1V9c7KDPDAlS9sJfD0AcOjGcyuI2BZK9CiHFFeGWM4mZu5YAzYPIkbbYRnrgm5MzQbL-U92IiLL/chuchu.jpg?width=650)
CHUCHU AJIFUNZA MILA ZA KIMASAI, AAIBIKA!
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Wapentekoste washikana uchawi
SIKU moja baada ya Ikulu kuliumbua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania (PCT) kwamba hawakuwasilisha majina ya uteuzi kwa Rais Jakaya Kikwete, wameanza kushikana uchawi kumsaka aliyesababisha majina hayo kutofika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun3y5t*EFN1pO0Wuxq0kiE4Uw2QTCO22E4hVf7hwWQ8fyRexjz-jjqR3FgWBKY2ml3W3Pfa2Y3WOc44ESeqwHqbm/Oath.jpg?width=650)
UHUSIANO WA FREEMASONS NA UCHAWI