Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Komando Jide ajifunza kareti

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au ‘Komando’ amesema anataka kuliweka jina lake la Komando kuwa na maana kwa kuanza kujifunza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wakerwa na vituo vya watoto kufunza kareti

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWANANCHI mkoani Dodoma wamekuwa na maoni tofauti kuhusu hatua ya Jeshi la Polisi nchini, kuweka chini ya ulinzi vituo vitatu vya kulelea watoto vilivyokuwa vikifundisha dini ya Kiislamu na kareti.

 

9 years ago

GPL

DIAMOND AJIFUNZA UCHAWI

Mwandishi Wetu Nyuma ya safari za mara kwa mara za Mbongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ za nchini Nigeria, kumeibuka madai mazito kuwa, anapokwenda huko hufundishwa mbinu za uchawi ili kukubalika duniani kama mastaa wa huko, Risasi Jumatano limenyetishwa. Kwa mujibu wa chanzo kimoja, Diamond anafundishwa uchawi na Wanigeria kwani ndiyo taswira ya sanaa yao inavyoakisi duniani ambapo ukiwa nchi nyingine...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJIFUNZA MILA ZA KIMASAI, AAIBIKA!

Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans. Stori: Imelda mtema
STAA wa sinema za Kibongo, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufundishwa mila za kimasai na kusema ameelewa, muda mchache baadaye akachemka.…

 

10 years ago

Mwananchi

Komando: Cheka anafuata maelekezo yangu

Ukifika mjini Morogoro ukimuulizia anapoishi bondia wa zamani Abdallah Abdulsaleh ‘Babu Komando’ basi utapelekwa mpaka mlangoni kwake hata kama iwe ni usiku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

10 years ago

GPL

JIDE, AY LAIVU!

Stori: Andrew Carlos
KABANG! Mwanadada asiyechuja kwenye muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo   ‘Jide’ mwishoni mwa wiki iliyopita alibambwa ‘laivu’ kwa mara ya kwanza katika kipindi kirefu akiwa ‘very close’ na mwanamuziki mwenzake, Ambwene Yessaya ‘AY’ wakiteta jambo. Wabongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na Ambwene Yessaya ‘AY’...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO

Na Luteni Kanali Juma Nkangaa Sipe

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO MACHI

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani