Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Komando: Cheka anafuata maelekezo yangu

Ukifika mjini Morogoro ukimuulizia anapoishi bondia wa zamani Abdallah Abdulsaleh ‘Babu Komando’ basi utapelekwa mpaka mlangoni kwake hata kama iwe ni usiku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza


BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Komando Jide ajifunza kareti

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au ‘Komando’ amesema anataka kuliweka jina lake la Komando kuwa na maana kwa kuanza kujifunza...

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

11 years ago

Habarileo

'Maelekezo ya Mahakama yatekelezwe'

NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amesema ipo haja ya kuwepo kwa usajili wa ufuatiliaji wa matunzo ya watoto ili kwamba maelekezo yanayotolewa na mahakama yaweze kutekelezwa kama inavyostahili.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maelekezo ya NEC yafuatwe kuepusha shari

WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ukizidi kukaribia, kumeanza kutolewa kauli za kibabe kuhusu namna hasa ya kutangazwa kwa matokeo ya kura zitakazokuwa zikipigwa katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar.

Majuzi, mmoja kati ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, alikaririwa na vyombo vya habari akisema kwa nafasi aliyopewa, yeye atakuwa akitangaza matokeo ya uchaguzi kadri atakavyokuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli ashusha maelekezo mashirika ya umma

RAIS John Magufuli ametoa maelekezo ya utendaji uliotukuka kwa wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma na watendaji ili kuhakikisha huduma zinazotolewa kwa wananchi zinakuwa bora na kuepuka matumizi ya ziada yasiyokuwa ya lazima.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO

Na Luteni Kanali Juma Nkangaa Sipe

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani