Maelekezo ya NEC yafuatwe kuepusha shari
WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ukizidi kukaribia, kumeanza kutolewa kauli za kibabe kuhusu namna hasa ya kutangazwa kwa matokeo ya kura zitakazokuwa zikipigwa katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar.
Majuzi, mmoja kati ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, alikaririwa na vyombo vya habari akisema kwa nafasi aliyopewa, yeye atakuwa akitangaza matokeo ya uchaguzi kadri atakavyokuwa...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Oct
Mahakama Kuu yasema maelekezo ya NEC ni sahii ya kutokukaa mita 200.
Mahakama Kuu Maalamu Kanda ya Dar Es Salaam, imemaliza Utata dhidi ya uhalali wa wapiga kura kukaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura baada ya kupiga kura na kusema maelekezo ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yapo sahihi.
Utata huo umekuja baada ya Mahakama hiyo kutoa ufafanuzi wa kifungu 104(1) namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala aliyetaka ufafanuzi wa Tafsiri ya Kifungu cha 104 (1) sura 543 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyorejewa mwaka 2002 kuhusu kukaa...
10 years ago
Vijimambo26 Mar
BVR zaiweka Nec mtegoni. Yaandikiwa barua isitishe uandikishaji kuepusha vurugu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Jaji%20Lubuva-%2026March2015.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imetakiwa kumshauri Rais Jakaya Kikwete, kusitisha upigaji kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa Aprili 30, mwaka huu, kwa maelezo kuwa kulazimisha suala hilo kutasababisha mpasuko na hatimaye kuzua vurugu na kuvunja amani ya nchi.
Pia imetakiwa kutokubali kuingiliwa katika utendaji wake wa kazi ikiwamo kulazimishwa kuendesha mchakato wa kura ya maoni katika tarehe hiyo.
Matamko hayo yalitolewa kwa nyakati tofauti na...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Shari inayomwandama John Magufuli
KAMA kimya kinasema basi hichi kilichotanda miongoni mwa baadhi ya vigogo vya Chama Cha Mapinduzi
Ahmed Rajab
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200324_120945_363.jpg)
DC.DAQARRO APINGA MACHINGA KUTOZWA FEDHA SOKO LA MADINI ASEMA MAAGIZO YA RAIS YAFUATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_120945_363.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakiongea na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ametaka wamachinga wasibughuziwe wa kutozwa michango ndani ya Jiji hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LTzVIRKd03E/Xnnu18pnezI/AAAAAAAAIvc/vBXkTjy6ysgRyrrdtLUmQuy7V-lwp7T1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123610_792.jpg)
Pichani ni sehemu ya risiti zisizo za Efds ambazo wamachinga kwenye Soko la madini jijini Arusha wamekuwa wakitozwa kiasi cha tsh.300 kwa siku kupata huduma sokoni humo huku wakiwa na vitambulisho vya machinga
![](https://1.bp.blogspot.com/-nFY4BDwNdtc/Xnnu8FNn-lI/AAAAAAAAIvg/xLaOw1zmu_0g3QCsJyciWsn7GETpehAWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123710_025.jpg)
Mkuu wa soko la...
9 years ago
Bongo521 Nov
Music: Riz Conc Ft Sir Zulu – Sitaki Shari
![IMG-20151118-WA0006(1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG-20151118-WA00061-300x194.jpg)
Sikiliza hapa wimbo mpya wa msanii Riz Conc amemshirikisha Sir Zulu wimbo unaitwa “Sitaki Shari”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NK1Vd4M4CY4/VaNO0l-Ln7I/AAAAAAADxw8/tKwd--4WYe4/s72-c/d3a6748280f5d1b2dbbe7b28b94e1330.jpg)
BREAKING NEWS:MAJAMBAZI YAVAMIA KUTUO CHA POLISI UKONGA STAKI SHARI YAUA ASKARI NA RAIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-NK1Vd4M4CY4/VaNO0l-Ln7I/AAAAAAADxw8/tKwd--4WYe4/s640/d3a6748280f5d1b2dbbe7b28b94e1330.jpg)
Vijimambo iliongea na mmoja ya mkazi wa eneo hilo yeye alisema alisikia milio ya risasi mida ya saa 5 usiku karibu na nyumbani kwake lakini hafahamu kilichotokea. Mkazi mwingine wa Ukonga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na...
11 years ago
Habarileo17 Jul
'Maelekezo ya Mahakama yatekelezwe'
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki amesema ipo haja ya kuwepo kwa usajili wa ufuatiliaji wa matunzo ya watoto ili kwamba maelekezo yanayotolewa na mahakama yaweze kutekelezwa kama inavyostahili.
9 years ago
Habarileo01 Dec
Magufuli ashusha maelekezo mashirika ya umma
RAIS John Magufuli ametoa maelekezo ya utendaji uliotukuka kwa wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma na watendaji ili kuhakikisha huduma zinazotolewa kwa wananchi zinakuwa bora na kuepuka matumizi ya ziada yasiyokuwa ya lazima.
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Komando: Cheka anafuata maelekezo yangu