Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Riz Conc Ft Sir Zulu – Sitaki Shari

IMG-20151118-WA0006(1)

Sikiliza hapa wimbo mpya wa msanii Riz Conc amemshirikisha Sir Zulu wimbo unaitwa “Sitaki Shari”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Shari inayomwandama John Magufuli

KAMA kimya kinasema basi hichi kilichotanda miongoni mwa baadhi ya vigogo vya Chama Cha Mapinduzi

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Raia Tanzania

Maelekezo ya NEC yafuatwe kuepusha shari

WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ukizidi kukaribia, kumeanza kutolewa kauli za kibabe kuhusu namna hasa ya kutangazwa kwa matokeo ya kura zitakazokuwa zikipigwa katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar.

Majuzi, mmoja kati ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, alikaririwa na vyombo vya habari akisema kwa nafasi aliyopewa, yeye atakuwa akitangaza matokeo ya uchaguzi kadri atakavyokuwa...

 

5 years ago

The Guardian

Riz Ahmed: The Long Goodbye review – breaking up with a racist Britain

Riz Ahmed: The Long Goodbye review – breaking up with a racist Britain  The Guardian

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS:MAJAMBAZI YAVAMIA KUTUO CHA POLISI UKONGA STAKI SHARI YAUA ASKARI NA RAIA

Kuna taarifa tulizozipata kuwa kituo cha polisi Ukomnga sitaki shari, jijini Dar es Salaam, kimevamiwa usiku wa manane na watu wasiojulikana ambapo, askari polisi sita na raia wawili wameuawa. Mwazo taarifa hizo zilisema polisi wanne wameuawa na bunduki 21 zimeibiwa.
Vijimambo iliongea na mmoja ya mkazi wa eneo hilo yeye alisema alisikia milio ya risasi mida ya saa 5 usiku karibu na nyumbani kwake lakini hafahamu kilichotokea. Mkazi mwingine wa Ukonga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na...

 

10 years ago

GPL

NIMEZALIWA KWA ZULU NATAL

Baada ya kuzamia Ulaya jamaa yetu mmoja hatimaye akawa anaishi Uswisi. Lakini maisha yake yalikuwa ya kujifichaficha maana alikuwa hana vibali vya kuishi huko. Washikaji wenzie wakamwambia dawa hapa ni kufanya juu chini aoe mwanamke wa Kiswisi, hapo lazima atapata uraia. Katika sakasaka hatimaye mama mmoja mzeemzee akaingia mkenge na kudhania anapendwa akakubali kuolewa na Mbongo. Mbongo akawa  amejitambulisha  kuwa eti...

 

11 years ago

BBC

Screening marks 50 years of Zulu

Zulu Prince Mangosuthu Buthelez is among those attending the 50th anniversary screening along with Prince Harry.

 

11 years ago

BBC

Zulu - the film which inspired UK and South Africa

The film which brought pride to both South Africa and the UK

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani