DC.DAQARRO APINGA MACHINGA KUTOZWA FEDHA SOKO LA MADINI ASEMA MAAGIZO YA RAIS YAFUATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200324_120945_363.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakiongea na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ametaka wamachinga wasibughuziwe wa kutozwa michango ndani ya Jiji hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Pichani ni sehemu ya risiti zisizo za Efds ambazo wamachinga kwenye Soko la madini jijini Arusha wamekuwa wakitozwa kiasi cha tsh.300 kwa siku kupata huduma sokoni humo huku wakiwa na vitambulisho vya machinga
Mkuu wa soko la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0H7LMtjCCoM/XoHlxsWhArI/AAAAAAAAI7I/QTEGqkkDc-gdzHtrPNi4B725yEwYqg-NQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200330_120446_217.jpg)
Dc Daqarro awatoa hofu wamachinga kutowaondoa soko lililoungua Samunge
Akiongea na maelfu ya wafanyabiashara hao zaidi ya 5000 Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro ameigiza halmashauri ya jiji la Arusha kuhakikisha wanaharakisha kujenga miundombinu ya soko hilo ili kuwapa nafasi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa hakuna mfanyabiashara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Kamati ya Nishati na Madini yapongeza Soko la Madini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s640/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Fundi Sanifu Madini kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Marko Massaba (katikati) akihakiki madini yaliyopokelewa kutoka mikoani kwenye soko hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-Na-3-1-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (kulia) kwenye Soko la Kimataifa la Madini la Dar es Salaam wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwenye...
11 years ago
Habarileo12 Dec
‘Soko la Mchikichini livunjwe kuiokoa Machinga Complex’
BAADA ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kubainisha upungufu uliopo katika Soko la Machinga Complex Ilala jijini Dar es Salaam ikiwemo soko hilo kujiendesha kwa hasara, baadhi ya wabunge wameshauri Serikali iangalie uwezekano wa kuvunja Soko la Mchikichini lililopo jirani.
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Mkurugenzi apinga kurejesha fedha
Na Chibura Makorongo, Itilima
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Abdallah Malela, amepinga agizo la kurejesha fedha za halmshauri mpya ya Itilima zilizotolewa na Hazina.
Pia anadaiwa kuwatimua ofisini kwake madiwani wa Itilima waliokwenda kudai fedha hizo.
Kauli hiyo ilitolewa katika baraza la madiwani wa halmashauri ya Itilima na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri, Khamis Mughata, ambaye alisema kamati yake ilishindwa kudai fedha hizo kutokana na mkurugenzi huyo kuwafukuza...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Moloimet apinga uteuzi waziri wa fedha
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Mnyika: JK aweke hadharani fedha za masoko ya Machinga
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete aweke hadharani fedha alizosema zimetengwa kwa ajili ya kujengea masoko ya kisasa ya machinga kila Wilaya Mkoa wa Dar es Salaam,...
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...