Dc Daqarro awatoa hofu wamachinga kutowaondoa soko lililoungua Samunge
![](https://1.bp.blogspot.com/-0H7LMtjCCoM/XoHlxsWhArI/AAAAAAAAI7I/QTEGqkkDc-gdzHtrPNi4B725yEwYqg-NQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200330_120446_217.jpg)
Na Ahmed Mahmoud,ArushaSerikali imewahakikishia wamachinga kuendelea kufanyabiashara kwenye soko la Samunge lililoungua moto na kuwaondolea hofu iliyojengeka kwamba ina mpango wa kuwaondoa katika soko hilo.
Akiongea na maelfu ya wafanyabiashara hao zaidi ya 5000 Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro ameigiza halmashauri ya jiji la Arusha kuhakikisha wanaharakisha kujenga miundombinu ya soko hilo ili kuwapa nafasi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa hakuna mfanyabiashara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_112732_963.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112732_963.jpg)
Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-aBmHNYUKFfc/XosNPxj5fcI/AAAAAAAAJCQ/635nkyp57a048uHodCyRVJHgdz8Uz_1AgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112734_674.jpg)
Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7gC0RuUlNs/XosNPUfqrMI/AAAAAAAAJCM/AlX6Bu1Byg8MmhrPEprpH3x9HBWpPrBzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112814_696.jpg)
Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Wajasiriamali wa soko lililoungua Arusha wamshukuru Nyalandu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akiongea na waandishi wa habari na Wajasiriamali wa soko la vinyago lililoungua moto Mkoani Arusha, mara baada ya kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kupitia Tanapa ili ziweze kusaidia ujenzi wa soko hilo. Makabidhiano hayo yalifanyika jana Mkoani Arusha.
11 years ago
Michuzi29 Jun
Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtemvu atembelea eneo lililoungua soko la Keko
![](https://2.bp.blogspot.com/-pbWfAph_ZrE/U61Tki3hh7I/AAAAAAAAnuU/59kgxTaaXxw/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Dy3BGvdbMcM/U61Tdgpz_iI/AAAAAAAAnuE/UJlDXWwJTvg/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-YyuTklFnWOI/U61TehHBE7I/AAAAAAAAnuM/Nk2Fd51YfHk/s1600/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200324_120945_363.jpg)
DC.DAQARRO APINGA MACHINGA KUTOZWA FEDHA SOKO LA MADINI ASEMA MAAGIZO YA RAIS YAFUATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_120945_363.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakiongea na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ametaka wamachinga wasibughuziwe wa kutozwa michango ndani ya Jiji hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LTzVIRKd03E/Xnnu18pnezI/AAAAAAAAIvc/vBXkTjy6ysgRyrrdtLUmQuy7V-lwp7T1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123610_792.jpg)
Pichani ni sehemu ya risiti zisizo za Efds ambazo wamachinga kwenye Soko la madini jijini Arusha wamekuwa wakitozwa kiasi cha tsh.300 kwa siku kupata huduma sokoni humo huku wakiwa na vitambulisho vya machinga
![](https://1.bp.blogspot.com/-nFY4BDwNdtc/Xnnu8FNn-lI/AAAAAAAAIvg/xLaOw1zmu_0g3QCsJyciWsn7GETpehAWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123710_025.jpg)
Mkuu wa soko la...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lubuva awatoa hofu wapigakura
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j8m7ynz2joY/Vn7hPTkq8_I/AAAAAAAIOzs/ZgRZvqXWuJA/s72-c/15fd2ed0-21e0-4d6c-8b3f-83bc9dbc024e.jpg)
PROFESA MUHONGO AWATOA HOFU WACHIMBAJI WADOGO
10 years ago
Habarileo15 Jan
Nabii awatoa hofu ya kufa wagombea urais
SERIKALI imeombwa kuimarisha ulinzi wa kutosha katika kuelekea uchaguzi mkuu ili wananchi waendelee kuishi kwa amani na utulivu.