Wajasiriamali wa soko lililoungua Arusha wamshukuru Nyalandu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akiongea na waandishi wa habari na Wajasiriamali wa soko la vinyago lililoungua moto Mkoani Arusha, mara baada ya kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kupitia Tanapa ili ziweze kusaidia ujenzi wa soko hilo. Makabidhiano hayo yalifanyika jana Mkoani Arusha.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0H7LMtjCCoM/XoHlxsWhArI/AAAAAAAAI7I/QTEGqkkDc-gdzHtrPNi4B725yEwYqg-NQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200330_120446_217.jpg)
Dc Daqarro awatoa hofu wamachinga kutowaondoa soko lililoungua Samunge
Akiongea na maelfu ya wafanyabiashara hao zaidi ya 5000 Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro ameigiza halmashauri ya jiji la Arusha kuhakikisha wanaharakisha kujenga miundombinu ya soko hilo ili kuwapa nafasi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa hakuna mfanyabiashara...
11 years ago
Michuzi29 Jun
Mbunge wa Temeke Mhe. Abbas Mtemvu atembelea eneo lililoungua soko la Keko
![](https://2.bp.blogspot.com/-pbWfAph_ZrE/U61Tki3hh7I/AAAAAAAAnuU/59kgxTaaXxw/s1600/1.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-Dy3BGvdbMcM/U61Tdgpz_iI/AAAAAAAAnuE/UJlDXWwJTvg/s1600/2.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-YyuTklFnWOI/U61TehHBE7I/AAAAAAAAnuM/Nk2Fd51YfHk/s1600/4.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Apr
'Wajasiriamali tumieni soko la EAC'
WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kuweka mikakati thabiti ya kuingia kwenye soko la pamoja la Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kujiletea maendeleo.
10 years ago
Mwananchi27 Jul
‘Wanawake wajasiriamali litumieni soko la EAC’
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wajasiriamali watakiwa kuchangamkia Soko la Hisa
11 years ago
Dewji Blog10 Apr
Mama Kikwete awataka Wanawake Wajasiriamali kutengeneza bidhaa ambazo soko lake linapatikana kirahisi
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea wakati wa uzinduzi rasmi Umoja wa vikundi vya Wanawake Mbagala (UWAMBA) katika sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Dar Live.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wanawake wajasiriamali nchini wametakiwa kutengeneza bidhaa ambazo zinahitajika kwa wingi na watumiaji na kuacha kung’ang’ania kutengeneza bidhaa ambazo soko lake ni dogo.
Mwito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati wa uzinduzi wa...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ebola ‘yaua’ soko la utalii Arusha
10 years ago
MichuziNYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (ANAPA)