Ebola ‘yaua’ soko la utalii Arusha
Imeelezwa kuwa idadi ya watalii mkoani hapa imepungua kwa sababu mbalimbali zikiwamo tishio la ebola na ugaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Soko la ajira wazi sekta ya utalii
10 years ago
MichuziSERIKALI YATAFUTA SOKO LA UTALII UAE - PINDA
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatano, Desemba 17, 2014) wakati akizungmuza an waandishi wa habari mara baada ya kufungua Kongamano la siku mbili la Utalii na Uwekezaji lilionza leo kwenye hoteli ya Le Meridien, jijini Dubai, Falme za Kiarabu.
“Tunao mkakati wa kukuza utalii nchini lakini wengi...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali sasa kutafuta soko la Utalii nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA SOKO LA MAREKANI YAENDELEA LOS ANGELES
![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8AA9Jd9z28/VMvlh4gyMkI/AAAAAAAHAa0/5ole1ZE74wY/s1600/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4vRC8Bj--8CuBlt0qGRbBJTj6Iq67TINQ8UndD9aPpnBUEkwovUU7NROehynsnpG3uHbSE*sCn-b17RoW-6Vrp/AUAWA2.jpg?width=650)
MAJAMBAZI YAUA ARUSHA
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Ebola yaua tena Liberia
10 years ago
Vijimambo30 Oct
Hiace yaua watu 12 Arusha
Watu 12 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Toyota Hiace (pichani) maarufu kama kipanya walikokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa 10 katika eneo Makumira wilayani Arumeru.
Sabas, alisema ajali hiyo ilitokea baada ya kipanya hicho aina ya Nissan T519 DBV kilichokuwa kikitokea jijini Arusha kwenda Usa River kuhama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI YAUA 7 JIJINI ARUSHA
Related News:
HOOD LAUA WATANO ARUSHA
Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi hii, wengi wajeruhiwa. Taarifa zaidi baadaye.
GPL
SOMA ZAIDI
10 years ago
Habarileo30 Oct
Ajali ya Hiece yaua 12 Arusha
WATU 12 wamekufa papo hapo katika ajali iliyotokea jana wilayani Arumeru, Arusha ikihusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace na lori la mafuta, aina ya Scania. Ingawa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana kuzungumzia tukio hilo licha ya mara kadhaa kupigiwa simu yake ya kiganjani iliyoita bila ya kupokewa, mwandishi wa habari hizi alishuhudia miili ya watu hao ikipokewa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, majira ya saa 12 jioni.