Hiace yaua watu 12 Arusha
Watu 12 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Toyota Hiace (pichani) maarufu kama kipanya walikokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa 10 katika eneo Makumira wilayani Arumeru.
Sabas, alisema ajali hiyo ilitokea baada ya kipanya hicho aina ya Nissan T519 DBV kilichokuwa kikitokea jijini Arusha kwenda Usa River kuhama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Hiace yaua saba na kujeruhi
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Hiace yaua mwalimu Kigoma
MWALIMU mmoja mkazi wa Mlole Manisapaa ya Kigoma Ujiji amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace yenye namba CMS 688 inayofanya safari zake Kigoma mjini kwenda Kijiji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgMbu79FG1cE7Vi6ZtYpHEqfJE9ekXlcQNC-CYrPUQI4IGygVtETpdQLtBXZ8JJX8KYuhOsN*7TGi3q8XKLGw7s/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA FUSO NA HIACE YAUA 11 KILIMANJARO
11 years ago
Habarileo31 Mar
Watu 20 wafa ajali ya Hiace
WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s72-c/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
WATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s1600/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qW1r1L-eYqI/VTDQ4jn_gyI/AAAAAAABLyY/RZYyEssy2xA/s1600/1519627_371868156337347_4125652940150248856_o.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4vRC8Bj--8CuBlt0qGRbBJTj6Iq67TINQ8UndD9aPpnBUEkwovUU7NROehynsnpG3uHbSE*sCn-b17RoW-6Vrp/AUAWA2.jpg?width=650)
MAJAMBAZI YAUA ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI YAUA 7 JIJINI ARUSHA
Related News:
HOOD LAUA WATANO ARUSHA
Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi hii, wengi wajeruhiwa. Taarifa zaidi baadaye.
GPL
SOMA ZAIDI
10 years ago
Habarileo30 Oct
Ajali ya Hiece yaua 12 Arusha
WATU 12 wamekufa papo hapo katika ajali iliyotokea jana wilayani Arumeru, Arusha ikihusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace na lori la mafuta, aina ya Scania. Ingawa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana kuzungumzia tukio hilo licha ya mara kadhaa kupigiwa simu yake ya kiganjani iliyoita bila ya kupokewa, mwandishi wa habari hizi alishuhudia miili ya watu hao ikipokewa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, majira ya saa 12 jioni.