Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YAUA 7 JIJINI ARUSHA

Watu saba wamefariki dunia papohapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya malori mawili kugongana katika eneo la Mti Mmoja wilayani Monduli mkoani Arusha.

Related News:

HOOD LAUA WATANO ARUSHA

Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi hii, wengi wajeruhiwa. Taarifa zaidi baadaye. GPL SOMA ZAIDI

...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ajali ya Hiece yaua 12 Arusha

WATU 12 wamekufa papo hapo katika ajali iliyotokea jana wilayani Arumeru, Arusha ikihusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace na lori la mafuta, aina ya Scania. Ingawa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana kuzungumzia tukio hilo licha ya mara kadhaa kupigiwa simu yake ya kiganjani iliyoita bila ya kupokewa, mwandishi wa habari hizi alishuhudia miili ya watu hao ikipokewa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, majira ya saa 12 jioni.

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR

Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hakufahamika jina lake baada ya kukanyagwa na lori na kupoteza maisha. Msamalia mwema akiufunika mwili wa mwanamke huyo.…

 

10 years ago

GPL

AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA

WATU kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku huu katika maeneo ya Gereji, External - Ubungo jijini Dar es Salaam kati ya lori na daladala aina ya DCM.  Abiria wa daladala waliojeruhiwa ni wengi mno japo idadi kamili bado haijafahamika huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwenye eneo hilo la ajali. Chanzo cha ajali hiyo kinadaiwa kuwa ni daladala kujaribu kuhama upande wake na kuingia upande wa...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI ILIYOUA WATU 12 JIJINI ARUSHA

Gari aina ya Toyota Hiace likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali hiyo iliyotokea eneo la Makumira wilayani Arumeru jana.…

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA

Mwili wa mwanamke anayedaiwa kuwa mke wa mmiliki wa hoteli na klabu ya AQ baada ya ajali. Basi la Mrindoko Trans baada ya ajali hiyo.…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Magesa Mulongo kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 30 Oktoba, 2014 katika eneo la Makumira Wilayani Arumeru katika Mkoa wa Arusha na kusababisha vifo vya abiria 12 papo hapo na wengine kujeruhiwa. 
 “Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.

 Pichani juu ni mmoja wa majeruhi akisaidiwa na msamaria mwema mara baada ya kupata ajali. 
 Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana. Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea. Baadhi ya Abiria wakiwa nje ya basi la Jordan mara baada ya kupinduka...

 

11 years ago

Mtanzania

Ajali yaua 19

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma

Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga

WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.

Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 23

Mkuu wa wilaya ya Mufindi, Mboni Mhita akiwatembelea majeruhi hospitali ya Wilaya mjini Mafinga (Picha na Frank Leonard).WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani