AJALI YAUA 7 JIJINI ARUSHA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Watu saba wamefariki dunia papohapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya malori mawili kugongana katika eneo la Mti Mmoja wilayani Monduli mkoani Arusha.
Related News:
HOOD LAUA WATANO ARUSHA
Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi hii, wengi wajeruhiwa. Taarifa zaidi baadaye.
GPL
SOMA ZAIDI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Oct
Ajali ya Hiece yaua 12 Arusha
WATU 12 wamekufa papo hapo katika ajali iliyotokea jana wilayani Arumeru, Arusha ikihusisha basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace na lori la mafuta, aina ya Scania. Ingawa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas hakupatikana kuzungumzia tukio hilo licha ya mara kadhaa kupigiwa simu yake ya kiganjani iliyoita bila ya kupokewa, mwandishi wa habari hizi alishuhudia miili ya watu hao ikipokewa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, majira ya saa 12 jioni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4xMX6XMvbnk9wYjoFBqNaaw8ttJgs-u*Tfr1xOTXANFTYw-cvBgc6PJdZ6NNwWlcgIEg1V9qpqzLbRZMOvsxX9A/MWANAME.jpg)
AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AZoGWVfWtlyAYZgh5*8vOdNtbqqcgibnrbOpbHoBW8O3bQA0SAuSB5c6NtJ0yrpmj6ueBx2mIeKV1D4gm5Wpy4-aNHi4LNYC/breakingnews.gif)
AJALI YA LORI NA DCM ENEO LA EXTERNAL JIJINI DAR YAUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wy0bytsZawZVxdpj7LJ*0knFdIk9n5X4W7vMHCp7GwueeDlPMjsKUylFd-dRbtIRYDwbZ5OUnSIIUSa2UmInpFvN7yp5EcjF/IMG20141030WA0003.jpg)
TASWIRA ZA AJALI ILIYOUA WATU 12 JIJINI ARUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdiUKtmWd2GD9rsEyEQOOk*esa95a1XPCJca4ri5RY821xVOXMRij4tNEDZgnRwqMv*AdGbBvo1YJrK9A7IAU2Ds/AJALI.jpg?width=650)
TASWIRA ZA AJALI ILIYOTOKEA KIKATITI JIJINI ARUSHA JANA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s72-c/New%2BPicture%2B(4).bmp)
Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo
![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s1600/New%2BPicture%2B(4).bmp)
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s72-c/IMG-20150415-WA0045.jpg)
NEWZZ ALERT;MTU MMOJA APOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA BASI LA JORDAN KUPINDUKA NZEGA,LIKITOKEA JIJINI MWANZA KWENDA ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-24CsRujhlCw/VS5FUbKMsqI/AAAAAAAHRRQ/S_vFcJGnXP4/s1600/IMG-20150415-WA0045.jpg)
Mtu mmoja amefariki dunia huku wengine 25 wakijeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Jordan lenye usajili wa namba T 650 AQZ lililokuwa likitokea jijini Mwanza kwenda mkoani Arusha na kupinduka leo wilayani Nzega,Tabora.Mpaka sasa chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tXAyhsmhNUE/VS5FTTHjAsI/AAAAAAAHRRE/KnSSu-YP4kM/s1600/IMG-20150415-WA0039.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Qi1DswkaKC0/VS5FS0wPhwI/AAAAAAAHRQ8/0h7X2lFpg1A/s1600/IMG-20150415-WA0040.jpg)
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Ajali yaua 19
![Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/ajali-dodoma.jpg)
Ajali ya basi la Morobest iliyotokea mkoani Dodoma
Debora Sanja, Dodoma na Fadhili Athumani, Mwanga
WATU 19 wamepoteza maisha na wengine 64 wamejeruhiwa katika ajali mbili zilizotokea katika mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro.
Habari kutoka mkoani Dodoma zinasema watu 17 wamefariki dunia baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 2 asubuhi, katika eneo la Pandambili, lililoko Barabara ya Dodoma-Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Habarileo16 Jun
Ajali yaua 23
WATU 23 wamekufa katika ajali iliyohusisha basi na lori mjini Mafinga, Iringa huku wengine 34 hali zao zikiwa mbaya.