AJALI YA FUSO NA HIACE YAUA 11 KILIMANJARO
Wananchi wakishuhudia ajali hiyo. WATU wanne wamefariki dunia na wengine 11 wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea Wilaya ya Hai, Kilimanjaro ikihusisha gari aina ya Hiace iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Sanya Juu na Moshi baada ya kugongana na Fuso. Hiace likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali. Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence Ngonyani, amesema ajali hiyo imetokea saa moja asubuhi,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAJALI YA BASI LA SIMBA MTOTO NA FUSO YAUA MMOJA
10 years ago
Habarileo18 Jul
Fuso labamiza Hiace na kuua wanne
WATU wanne wamekufa papo hapo na wengine 11 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T196 AAW aina ya Toyota Hiace, kugongwa kwa nyuma na gari lenye namba za usajili T 430 AQQ aina ya Mitsubishi Fuso.
11 years ago
Michuzi15 Jul
AJALI YA MAPOROMOKO KILIMANJARO YAUA MMOJA
Shirika la Hifadhi za Taifa...
10 years ago
VijimamboWATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
Magari yakiwa kwenye foleni baada ya kutokea kwa ajali hiyo
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Hiace yaua saba na kujeruhi
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Hiace yaua mwalimu Kigoma
MWALIMU mmoja mkazi wa Mlole Manisapaa ya Kigoma Ujiji amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Hiace yenye namba CMS 688 inayofanya safari zake Kigoma mjini kwenda Kijiji...
10 years ago
Vijimambo30 Oct
Hiace yaua watu 12 Arusha
Watu 12 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Toyota Hiace (pichani) maarufu kama kipanya walikokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa 10 katika eneo Makumira wilayani Arumeru.
Sabas, alisema ajali hiyo ilitokea baada ya kipanya hicho aina ya Nissan T519 DBV kilichokuwa kikitokea jijini Arusha kwenda Usa River kuhama...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Watu 20 wafa ajali ya Hiace
WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.
10 years ago
VijimamboWATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA