Watu 20 wafa ajali ya Hiace
WATU 21 wamekufa na 10 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi dogo la abiria aina ya Hiace na lori. Ajali hiyo ilitokea juzi katika kijiji cha Mkupuka kata ya Kibiti wilayani Rufiji mkoani Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s72-c/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
WATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UpPs7l57WdY/VTDQ37a5W1I/AAAAAAABLyQ/kDkk32ZRcAs/s1600/11138171_371867679670728_587693700954972337_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qW1r1L-eYqI/VTDQ4jn_gyI/AAAAAAABLyY/RZYyEssy2xA/s1600/1519627_371868156337347_4125652940150248856_o.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Watu wawili wafa papo hapo katika ajali mkoani Singida baada ya bajaj kugongwa na Fuso
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
Watu wawili wamefariki dunia katika ajali mkoani Singida,baada ya bajaj waliokuwa wakisafiria kugongwa na gari aina mitsubishi fuso lenye namba za usajili T.641 AVA lililokuwa likiendeshwa na Modest Kisaka (27) mkazi wa Mughanga manispaa ya Singida.
Watu hao ni pamoja na derive wa bajaj hiyo yenye namba za usajili MC 866 ABW aina ya YVS, Thadei...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgMbu79FG1cE7Vi6ZtYpHEqfJE9ekXlcQNC-CYrPUQI4IGygVtETpdQLtBXZ8JJX8KYuhOsN*7TGi3q8XKLGw7s/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA FUSO NA HIACE YAUA 11 KILIMANJARO
10 years ago
Vijimambo30 Oct
Hiace yaua watu 12 Arusha
Watu 12 wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Toyota Hiace (pichani) maarufu kama kipanya walikokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo jana majira ya saa 10 katika eneo Makumira wilayani Arumeru.
Sabas, alisema ajali hiyo ilitokea baada ya kipanya hicho aina ya Nissan T519 DBV kilichokuwa kikitokea jijini Arusha kwenda Usa River kuhama...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Ajali ya Hiace huko Tukuyu Mbeya: Abiria zaidi ya 20 wapoteza maisha, Utingo pekee anusurika
Baadhi ya miili ya walipoteza maisha kwenye ajali ya gari aina ya Hiace iliyopinduka Mtoni, ikiwa imefunikwa baada ya kuopolewa na wasamaria wema huko, eneo la Uwanja wa Ndege, Kiwira Kyela.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Tuamke na Mungu, tutembee na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwa sasa kufuatia hali ya ajali za mara kwa mara zinazotokea ndani ya nchi yetu”.
Asubuhi ya leo huko Tukuyu Mkoani Mbeya imeripotiwa ajali mbaya ya Hiace iliyoua takribani watu zaidi ya 20, eneo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s72-c/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
WATU WANNE WAFARIKI DUNIA BAADA YA HIACE KUGONGANA NA FUSO KATIKA DARAJA LA MTO KIKAVI WILAYANI HAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_Qxe_24K4F4/VajZd2FhyoI/AAAAAAABSA0/48pjxAiUO0s/s640/photo_2015-07-17_13-27-18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQWDm2f8_rs/VajZd82oAcI/AAAAAAABSA4/X8V-H92lOrA/s640/photo_2015-07-17_13-27-23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yAa1X-AUcKo/VajZf4WRicI/AAAAAAABSBE/bJFKpqB8nBs/s640/photo_2015-07-17_13-27-56.jpg)
9 years ago
Habarileo19 Dec
12 wafa katika ajali
ABIRIA 12 wamefariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa, wengine vibaya, baada ya basi walilopanda, mali ya kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Dar es Salaam kulekea Tunduma Mbeya kugongana na roli lililokuwa likitokea Mafinga mkoani Iringa likielekea Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo03 Oct
Wanajeshi 7 wafa kwa ajali
VIJANA Saba wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kikosi cha 821 Bulombora wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine 22 wamejeruhiwa wengi wao vibaya baada ya gari walilokuwa wakiafiria kupinduka.
11 years ago
Habarileo06 Feb
Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi
WATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.