Soko la ajira wazi sekta ya utalii
Watanzania wameshauriwa kuzichangamkia fursa za utalii ili kujiongezea kipato na kunufaika na ukuaji wa sekta hiyo na soko la ajira hapa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ebola ‘yaua’ soko la utalii Arusha
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Wizara: Soko la ajira limeongezeka
WIZARA ya Kazi na Ajira imesema uzalishaji kwenye soko la ajira nchini umeongezeka kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu ambako ajira 139,361 zimezalishwa. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana...
10 years ago
MichuziSERIKALI YATAFUTA SOKO LA UTALII UAE - PINDA
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatano, Desemba 17, 2014) wakati akizungmuza an waandishi wa habari mara baada ya kufungua Kongamano la siku mbili la Utalii na Uwekezaji lilionza leo kwenye hoteli ya Le Meridien, jijini Dubai, Falme za Kiarabu.
“Tunao mkakati wa kukuza utalii nchini lakini wengi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Soko la ajira halilingani na wasomi waliopo
TATIZO la ajira katika nchi za Afrika na Tanzania ikiwemo, linakua kwa kasi. Kwa mujibu wa Shirika la Kazi Duniani (ILO), idadi ya watu wasiokuwa na ajira duniani mwaka 2010...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Sekta za utalii, usafirishaji zaongeza mapato
NA SELINA WILSON, DODOMA
TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika biashara ya nje, ikiwemo huduma za utalii na usafirishaji bidhaa kupitia nchini kwenda nchi jirani na hivyo kuongeza mapato.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira, alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2013 na mpango wa maendeleo wa taifa wa 2014/2015.
Wassira alisema kwa mwaka 2013, katika huduma za utalii, mapato yaliongezeka kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7jhaK9cME8k/VAAjj19jrnI/AAAAAAAGRT0/MlKFavWDLBo/s72-c/Saana.jpg)
Utalii unavyoweza kuleta ajira kwa vijana
![](http://1.bp.blogspot.com/-7jhaK9cME8k/VAAjj19jrnI/AAAAAAAGRT0/MlKFavWDLBo/s1600/Saana.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ujangili kuathiri ajira milioni 3.8 katika utalii