Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara: Soko la ajira limeongezeka

WIZARA ya Kazi na Ajira imesema uzalishaji kwenye soko la ajira nchini umeongezeka kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu ambako ajira 139,361 zimezalishwa. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Soko la ajira wazi sekta ya utalii

Watanzania wameshauriwa kuzichangamkia fursa za utalii ili kujiongezea kipato na kunufaika na ukuaji wa sekta hiyo na soko la ajira hapa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Soko la ajira halilingani na wasomi waliopo

TATIZO la ajira katika nchi za Afrika na Tanzania ikiwemo, linakua kwa kasi. Kwa mujibu wa Shirika la Kazi Duniani (ILO), idadi ya watu wasiokuwa na ajira duniani mwaka 2010...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu wa taarifa za soko la ajira kwa serikali

TAARIFA za soko la ajira zina umuhimu wa kipekee katika kupanga, kutekeleza na kupima ufanisi wa mipango ya kiuchumi nchini pamoja na kupima uwezo wa kiuchumi kwa wakati husika. Hivyo,...

 

11 years ago

Michuzi

Kituo cha mafunzo chazinduliwa kuiongezea thamani soko la ajira la uhandisi na usimamizi wa miradi

 Debra Backlund, one of the founders of Desktop Publishing Institute (DPI) speaks during the launch of Computer Aided Drafting and Design (CADD) Center Dar es Salaam, which is a franchise of CADD Center India. The Center plans to train more than 1,200 Tanzanians in professional architectural, engineering and project management job sector annually. Right is Tanzania Commissioner for Education Prof. Eustella Bhalalusesa and center is Director at CADD Center Dar es Salaam Shafiq Abdulrasul.

 

10 years ago

Michuzi

Restless Development yatoa mbinu kwa vijana Kilimanjaro kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira

Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakiwasikiliza walimu wa kujitolea kutoka Restless Development(walioko mbele yao) kuhusu maarifa ya kupata kazi  
 Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakifundishwa na walimu wa kujitolea kutoka Restless Development Gemma Bunn (wa kwanza kushoto )na Jonathan Aquilina ( wa pili kulia ) kuhusu maarifa ya kupata kazi. Kwa habari kamili BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara yafuta ajira 200 za Uhamiaji

Wizara ya Mambo ya Ndani imefuta ajira 200 za konstebo na koplo katika Idara ya Uhamiaji baada ya kubaini kuwa kulikuwa na upendeleo katika usaili na sasa zitatangazwa upya na kusimamiwa na wizara hiyo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo?

Ukipita mbele ya jengo la Wizara ya Kilimo na Maliasili hapo Darajani utakutia karatasi zimebandikwa ukutani kama picha zinavyojieleza. Huo ndio utaratibu unaitumika kutoa matokeo ya nafasi za kazi kwenye Mawizara ya SMZ. Na huo ndio […]

The post Ajira Wizara ya Kilimo, jee jina lako limo? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pato la mkulima wa Tumbaku nchini limeongezeka na kufikia milioni 4.9 kwa mwaka

DSC05339

Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida,Fatma Toufiq, akifungua mkutano wa wadau wa zao la Tumbaku nchini unaoendelea kwenye ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.Dc huyo alifungua mkutano huo kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

DSC05331

Baadhi ya viongozi na wadau wa zao la Tumbaku nchini wanaohudhuria mkutano wa kujadili maendeleo ya zao hilo hapa nchini.(Picha naNathaniel Limu).

DSC05343

Na Nathaniel Limu, Singida

MAPATO ya mkulima mmoja mmoja wa tumbaku nchini, yameongezeka kutoka wastani wa zaidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani