Soko la ajira halilingani na wasomi waliopo
TATIZO la ajira katika nchi za Afrika na Tanzania ikiwemo, linakua kwa kasi. Kwa mujibu wa Shirika la Kazi Duniani (ILO), idadi ya watu wasiokuwa na ajira duniani mwaka 2010...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru NewspaperSekretarieti ya Ajira yawananga wasomi
WAHITIMU wengi wanaotuma maombi ya kazi serikalini hawajui taratibu za kufuata, hivyo kushindwa kunufaika na fursa hizo kutokana na kuwasilisha nyaraka zisizokithi vigezo, imeelezwa.
Pia baadhi ya waombaji hao wamekuwa wakiwasilisha vyeti vya elimu visivyokidhi viwango na wengine kusoma katika vyuo ambavyo havitambuliki na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU).
Kutokana na sababu hizo, baadhi ya wadau...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Wizara: Soko la ajira limeongezeka
WIZARA ya Kazi na Ajira imesema uzalishaji kwenye soko la ajira nchini umeongezeka kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu ambako ajira 139,361 zimezalishwa. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Soko la ajira wazi sekta ya utalii
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Umuhimu wa taarifa za soko la ajira kwa serikali
TAARIFA za soko la ajira zina umuhimu wa kipekee katika kupanga, kutekeleza na kupima ufanisi wa mipango ya kiuchumi nchini pamoja na kupima uwezo wa kiuchumi kwa wakati husika. Hivyo,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lsTLyL08ovI/UwWH76oJ7gI/AAAAAAAFOKs/KU7Uj7K9fnU/s72-c/1.jpg)
Kituo cha mafunzo chazinduliwa kuiongezea thamani soko la ajira la uhandisi na usimamizi wa miradi
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsTLyL08ovI/UwWH76oJ7gI/AAAAAAAFOKs/KU7Uj7K9fnU/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tXoN4jfLjPg/UwWIA3DABWI/AAAAAAAFOLM/DSgYGmRhg98/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ADs99xMGlUk/VTJoQuef9eI/AAAAAAAHR14/LclbZ_Aj3d4/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Restless Development yatoa mbinu kwa vijana Kilimanjaro kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira
![](http://4.bp.blogspot.com/-ADs99xMGlUk/VTJoQuef9eI/AAAAAAAHR14/LclbZ_Aj3d4/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IS6g8BgL6tY/VTJoFmVlCuI/AAAAAAAHR1o/p5gqAedd8j8/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakifundishwa na walimu wa kujitolea kutoka Restless Development Gemma Bunn (wa kwanza kushoto )na Jonathan Aquilina ( wa pili kulia ) kuhusu maarifa ya kupata kazi. Kwa habari kamili BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s72-c/IMG_8858.jpg)
WAKALA WA AJIRA TANZANIA WAELEZA MIKAKATI YAO YA KUWASAIDIA VIJANA WANAOKUBWA NA JANGA LA KUKOSA AJIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xfwMy2zP1p8/VBrXSMW8EzI/AAAAAAABCtA/r6rsf9gxZdI/s1600/IMG_8858.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10