Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa taarifa za soko la ajira kwa serikali

TAARIFA za soko la ajira zina umuhimu wa kipekee katika kupanga, kutekeleza na kupima ufanisi wa mipango ya kiuchumi nchini pamoja na kupima uwezo wa kiuchumi kwa wakati husika. Hivyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Restless Development yatoa mbinu kwa vijana Kilimanjaro kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira

Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakiwasikiliza walimu wa kujitolea kutoka Restless Development(walioko mbele yao) kuhusu maarifa ya kupata kazi  
 Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakifundishwa na walimu wa kujitolea kutoka Restless Development Gemma Bunn (wa kwanza kushoto )na Jonathan Aquilina ( wa pili kulia ) kuhusu maarifa ya kupata kazi. Kwa habari kamili BOFYA HAPA.

 

5 years ago

CCM Blog

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara: Soko la ajira limeongezeka

WIZARA ya Kazi na Ajira imesema uzalishaji kwenye soko la ajira nchini umeongezeka kati ya Julai hadi Septemba mwaka huu ambako ajira 139,361 zimezalishwa. Hayo yalisemwa Dar es Salaam jana...

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KATIKA JESHI LA MAGEREZA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII


Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la Magereza ya www.magereza.go.tz 
Hivyo, Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Serikali imeshindwa kutengeneza ajira kwa vijana

>Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Watanzania bado wanaishi maisha duni na kukosa ajira kutokana na mfumo wa Serikali uliopo wa kushindwa kutumia vyema rasilimali zilizopo kwa manufaa ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha ajira kwa vijana

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka katika vikundi 36 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajiwa kupewa maeneo ya kilimo na Serikali ili kuwainua kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yafafanua kuchelewa kwa ajira za walimu nchini

Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu walimu waliomaliza masomo yao na kutopangiwa vituo vya kazi kuwa muda wa kufanya hivyo bado.

BREAKING NEWS, AJIRA ZIMETOKA!! SOMA HAPA AJIRA MPYA ZA WAALIMU WAPYA KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2013/14

<<< Bofya hapa >>>

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana

>Wakati Serikali ikitupiwa lawama kwa kushindwa kumaliza  tatizo la ajira kwa vijana nchini, Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amekiri kuwa Serikali haina uwezo wa kutoa ajira kwa vijana wote wanaohitimu masomo  nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani