SERIKALI YATAFUTA SOKO LA UTALII UAE - PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini na kukuza pato la Taifa kupitia sekta hiyo.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatano, Desemba 17, 2014) wakati akizungmuza an waandishi wa habari mara baada ya kufungua Kongamano la siku mbili la Utalii na Uwekezaji lilionza leo kwenye hoteli ya Le Meridien, jijini Dubai, Falme za Kiarabu.
“Tunao mkakati wa kukuza utalii nchini lakini wengi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali sasa kutafuta soko la Utalii nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati
9 years ago
Habarileo23 Sep
Serikali yatafuta mtaalamu abomoe ghorofa
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Sh bilioni moja zimetengwa kwa ajili ya kubomoa jengo lenye ghorofa 16 lililopo kwenye barabara ya Indira Gandhi, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Serikali yatafuta mwekezaji usafiri wa treni
SERIKALI imeruhusu mtu yeyote mwenye uwezo wa kuwekeza katika usafiri wa treni ajitokeze, ili kuuboresha. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tizeba, alieleza hayo mjini hapa jana katika kongamano la uwekezaji...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Ebola ‘yaua’ soko la utalii Arusha
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Soko la ajira wazi sekta ya utalii
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA SOKO LA MAREKANI YAENDELEA LOS ANGELES
![](http://1.bp.blogspot.com/-nmH7kM-Qv9E/VMvlh64o9dI/AAAAAAAHAaw/96dapY5qT_k/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--8AA9Jd9z28/VMvlh4gyMkI/AAAAAAAHAa0/5ole1ZE74wY/s1600/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aD3XK0VtJjk/VP1QCoA3III/AAAAAAAHI1c/BHtInixU1Dc/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wIZp8m8pt8/VP1QEH3C8jI/AAAAAAAHI1o/-jyEqxHjEoA/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Habarileo19 May
Makampuni ya mafuta yatakiwa yatosheleze soko la ndani - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameyataka makampuni yanayojihusisha na mafuta na gesi nchini, kuhakikisha yanatimiza mahitaji ya Soko la Ndani na ukanda wa Afrika Mashariki kabla ya kufikia Soko la Nje.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0M5Ysqb1PEw/VJFs2y4zipI/AAAAAAAG3zo/BQZr-p2hhEQ/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
VETA WAMETAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA ILI KUKABILIANA NA USHINDANI WA SOKO ULIOPO