Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VETA WAMETAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA ILI KUKABILIANA NA USHINDANI WA SOKO ULIOPO

Na Woinde Shizza, Arusha Baraza la ushauri la chuo cha mafunzo ya hoteli na utalii (VHTTI) limetakiwa kuhakikisha linaandaa wanafunzi vyema na wenye viwango vya kimataifa ili kukabiliana na ushindani mkubwa ulioko katika sekta ya hoteli na utalii duniani.  Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .  Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.

Baraza la ushauri la chuo cha  mafunzo ya hoteli na utalii (VHTTI) limetakiwa kuhakikisha linaandaa wanafunzi vyema na wenye viwango vya kimataifa   ili kukabiliana  na ushindani mkubwa ulioko katika sekta ya hoteli na utalii duniani.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo  jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo  nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya  hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...

 

5 years ago

Michuzi

Kitengo cha uhandisi Mitambo kuhakikisha viwango vya bidhaa zinazalishwa ndani na nje ya nchi

*TBS iko kwa ajili ya kuweka Viwango vya Kitaifa.
*Miradi ya Ujenzi mbalimbali wa Serikali unatumia bidhaa za Viwanda vya ndani kutokana Viwango kufikiwa

Na Ripota wetu-Michuzi TV.

Kitengo Cha Uhandisi wa Mitambo wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kimesema kuwa Nondo, Bati na Misumari na bidhaa zingine za kiuhandisi zimekuwa na viwango na kukubalika katika Kanda mbalimbali

Akizungumza na michuzi Tv Afisa Viwango Mwandamizi Kitengo Cha Uhandisi Mitambo wa TBS Joseph Mwaipaja amesema kuwa tangu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda ateta na wawekezaji nchini Poland wenye nia ya kujenga hoteli ya kimataifa Zanzibar

123121

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto) akiwasilisha mada kuhusu kampuni yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania kwenye kiwanda cha kusafisha dhahabu (gold refinery) na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba. (Picha na Irene Bwire wa OWM).

123137

 

9 years ago

BBCSwahili

Soko huru kudhibiti viwango vya Rand

Benki kuu ya Afrika Kusini imesema kuwa soko huru la nchi hiyo litaendelea kubaini viwango vya sarafu ya rand.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMC : Machinjio yetu yanakidhi viwango vya kimataifa

MFANYABIASHARA yeyote anayethamini uhai wa binadamu, lazima atazingatia usafi wa mazingira katika shughuli zake za kila siku zinazomuingizia kipato. Japokuwa jamii haina uelewa wa kutosha kuhusiana na usafi wa mazingira,...

 

10 years ago

Vijimambo

Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...

 

10 years ago

Michuzi

Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa - Wadau

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau: Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa

1E9A7818

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?

Je unapaswa kuwa unalinganisha takwimu za Covid-19 kati ya nchi mbali mbali?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani