Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Wadau: Filamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group, Bw Johnson Lukaza akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa filamu ya Mpango Mbaya iliyochezwa na washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) mwaka 2014, uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa sinema wa century uliopo Mlimani City, Jijini Dar Es Salaam. Filamu hii ni moja ya filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu huku wadau waliofanikiwa kuitazama filamu hiyo kuvutiwa nayo na kukubali kuwa ni filamu yenye viwango vya...
10 years ago
MichuziFilamu ya Mpango Mbaya ina viwango vya Kimataifa - Wadau
10 years ago
GPLFILAMU YA 'MPANGO MBAYA' INA VIWANGO VYA KIMATAIFA
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-HytkJRXvkko/VW62M8JkugI/AAAAAAAAgp4/whjhCMW2ck8/s640/Mpango%2BMbaya-Poster.jpg)
FILAMU YA MPANGO MBAYA KUZINDULIWA NDANI YA UKUMBI WA MLIMANI CITY
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s72-c/unnamed111.jpg)
FILAMU YA MPANGO MBAYA YA TMT KURUSHWA MLIMANI CITY CINEMA 12.JUNE.2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s400/unnamed111.jpg)
Sinema hiyo ambayo imeshirikisha wasanii wakali wenye elimu ya uigizaji kutoka kwa wakufunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam imerekodiwa katika viwango vya kimataifa ndio maana inaanza kurushwa katika majumba ya sinema...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
TMC : Machinjio yetu yanakidhi viwango vya kimataifa
MFANYABIASHARA yeyote anayethamini uhai wa binadamu, lazima atazingatia usafi wa mazingira katika shughuli zake za kila siku zinazomuingizia kipato. Japokuwa jamii haina uelewa wa kutosha kuhusiana na usafi wa mazingira,...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3pgI-apyZI/VJAWJZaWlzI/AAAAAAAANzw/WAGp--vuI7A/s72-c/IMG-20141215-WA0005.jpg)
VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0M5Ysqb1PEw/VJFs2y4zipI/AAAAAAAG3zo/BQZr-p2hhEQ/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
VETA WAMETAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA ILI KUKABILIANA NA USHINDANI WA SOKO ULIOPO