Wajasiriamali watakiwa kuchangamkia Soko la Hisa
Wajasiriamali na wafanyabiashara mkoani Mtwara, wamehimizwa kuchangamkia fursa ya kukuza mitaji inayotolewa na Soko la Hisa la Dar es Salaam, DSE kupitia kitengo chake cha kukuza wajasiriamali na kujipatia mitaji itakayokuza na kuimalisha biashara zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Kigoma watakiwa kuchangamkia maonyesho ya wajasiriamali
WANANCHI wa Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kutumia fursa waliyoipata ya maonyesho ya wajasiriamali wadogo na wa kati Kanda ya Kati kwa kujitangaza kibiashara na kujifunza kutoka kwa wenzao ndani...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
9 years ago
MichuziWaziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.
Hussein Makame-MAELEZO
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ameyasema hayo wakati akifungua...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
5 years ago
MichuziWATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo. Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akitoa nishani na zawadi kwa washindi wa Kili Marathon 2020 leo mjini Moshi.
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UMEME WA REA.
Mashimo ya nguzo yakichimbwa.
Upitiaji wa nyaraka za mradi huo ukifanyika.
Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akipitia nyaraka baada ya kukagua mradi wa usambazaji umeme REA II unaoendelea katika wilaya za Iramba, Mkalama, Ikungi na Singida DC. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa REA, Mhandisi Elineema Mkumbo.
Mhandisi Julius Saady kutoka Kampuni ya Kateth Desco Dynamic Engineering Project Cordinator inayotekeleza mradi huo, akizungumzia hatua...