Phiri awatoa hofu Simba
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo na kusema kuwa kipigo walichopata kutoka kwa URA na sare dhidi ya Ndanda FC haimaanishi kuwa timu yao ni mbovu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lubuva awatoa hofu wapigakura
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s72-c/P1.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AWATOA HOFU WAWEKEZAJI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCqsXl34eAU/XsrR4vvI4QI/AAAAAAALrb8/fVk1CFWYXqQ6MmBwuGw8r_HZyWCSAOFUgCLcBGAsYHQ/s640/P1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P8.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akioneshwa na kupewa maelezo kuhusu mtambo wa kuzalisha mvinyo kutoka kwa Mhandisi wa Kemikali na Mchakato tija wa kiwanda hicho, Daniel Mollel wakati wa ziara yake katika kiwanda cha kuzalisha mvinyo cha DOMIYA.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/P7.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j8m7ynz2joY/Vn7hPTkq8_I/AAAAAAAIOzs/ZgRZvqXWuJA/s72-c/15fd2ed0-21e0-4d6c-8b3f-83bc9dbc024e.jpg)
PROFESA MUHONGO AWATOA HOFU WACHIMBAJI WADOGO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s72-c/03.jpg)
Waziri awatoa hofu wananchi kuhusu Mloganzila
![](https://1.bp.blogspot.com/-SD7xtH-EFeI/XkatQ6VdKGI/AAAAAAALdZI/fBDiQKcQPYAhWp5LIiyZJxPkHL6Yu26eACLcBGAsYHQ/s640/03.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bgL39I8-ygw/XkatRGBtHcI/AAAAAAALdZM/OkRGAc6a36ogx8zdDENrXnyoJHFgWYoNACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2F4gh58xqkU/XkatPUFHa6I/AAAAAAALdZE/fHo99WWCykwlkAaKN5dLvf9tSH8qmysEwCLcBGAsYHQ/s640/05.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Jan
Nabii awatoa hofu ya kufa wagombea urais
SERIKALI imeombwa kuimarisha ulinzi wa kutosha katika kuelekea uchaguzi mkuu ili wananchi waendelee kuishi kwa amani na utulivu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0H7LMtjCCoM/XoHlxsWhArI/AAAAAAAAI7I/QTEGqkkDc-gdzHtrPNi4B725yEwYqg-NQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200330_120446_217.jpg)
Dc Daqarro awatoa hofu wamachinga kutowaondoa soko lililoungua Samunge
Akiongea na maelfu ya wafanyabiashara hao zaidi ya 5000 Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro ameigiza halmashauri ya jiji la Arusha kuhakikisha wanaharakisha kujenga miundombinu ya soko hilo ili kuwapa nafasi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao.
Ameeleza kuwa hakuna mfanyabiashara...
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Balozi Seif Iddi awatoa hofu madaktari wa Cuba, Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Kiongozi wa Madaktari wa Cuba Profesa Ulpiano Nyumbani kwake Vuga Mjini Zanzibar baada ya kuvamiwa na majambazi jana usiku yeye na wenzake maeneo kati ya Kikwajuni na SUZA.
Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi Msaidizi Kamishna wa Polisi { ACP } Mkadam Khamis Mkadam alisema Jeshi la Polisi Mkoa huo linawashikilia watu wawili miongoni mwa majambazi wanaotuhumiwa kuhusika na uvamizi wa Madaktari Bingwa wa Cuba katika...
9 years ago
Bongo Movies16 Sep
Wolper Awatoa Hofu Mashabiki, Asisitiza Kubaki Kuwa Jacqueline Lowassa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ambaye amejipambanua siasa kuwa anaunga mkono madadiliko kupitia UKAWA na kushiriki katika harakati za kumpigia kampeni Mh Edward Lowassa ambaye ni mgombea urasi kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA, amewatoa hofu mashabiki wao kuwa hakuna bifu miongoni mwao kwani siasa zikiisha wataendelea na maisha yao kama kawaida tofauti na baadhi ya mashabiki wanavyodhani hasa baada ya wasanii hao wa bongo movies walivyotafautiana kimitazamo ya kisiasa kwakipindi...