Wolper Awatoa Hofu Mashabiki, Asisitiza Kubaki Kuwa Jacqueline Lowassa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ambaye amejipambanua siasa kuwa anaunga mkono madadiliko kupitia UKAWA na kushiriki katika harakati za kumpigia kampeni Mh Edward Lowassa ambaye ni mgombea urasi kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA, amewatoa hofu mashabiki wao kuwa hakuna bifu miongoni mwao kwani siasa zikiisha wataendelea na maisha yao kama kawaida tofauti na baadhi ya mashabiki wanavyodhani hasa baada ya wasanii hao wa bongo movies walivyotafautiana kimitazamo ya kisiasa kwakipindi...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KyT*Of17-PEvJOmZa1s*ggRjAGs6MvT5QGoa641Ra1Iy7Q1AdlNR2KEKNs*KjkcLYZUWEoc7PM6Q5BSet-kKn5/ergtertertetetetertet.jpg)
JACQUELINE WOLPER AMFUATA EDWARD LOWASSA UKAWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg0Z9qnU*hPEpMJdwEVsHuW2IGj2pL0CjopdkIn*Tf9PVTx67VBupJF1rnrpsNySx9Brm0pg9RpV5SIrKp*9OH31/GLOBALTV23.jpg?width=650)
JACQUELINE WOLPER ATEMBELEA GLOBAL
11 years ago
Michuzi09 May
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Jacqueline Wolper aponda mapenzi ya fedha
STAA wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema hana mpango wa kuwa na mume tajiri, hivyo amewataka wasihangaike kumtafuta. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wolper alisema hapendi wanaume wenye...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Lubuva awatoa hofu wapigakura
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Maswi awatoa hofu Tanesco
KATIBU Mkuu Wizara ya Nishatu na Madini, Eliakim Maswi amewatoa hofu ya kufukuzwa au kupunguzwa kwa wafanyakazi wa shirika la Tanesco kutokana na Serikali kuanzisha mkakati na mwelekeo wa kurekebisha...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5jUGfjGXSLA/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 May
Jacqueline Wolper: Anayetoka na Nay wa Mitego ameshajulikana
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa filamu za kibongo, Jacqueline Wolper, amewaweka njia panda mashabiki wake kwa kauli yake kwamba msichana aliyekwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameshafahamika, tofauti na alivyokuwa akihisiwa yeye.
“Watu hawana dogo, ukiwa karibu na mtu basi utaambiwa mpenzi wako, Nay hakuwahi kuwa mpenzi wangu kwa kuwa ni zaidi ya rafiki kwangu, ila watu wasio waelewa ndiyo walikuwa wakivumisha kwamba tuna uhusiano kwa...