Moloimet apinga uteuzi waziri wa fedha
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Monduli na Mkuu wa wilaya kadhaa nchini, Lepilel Ole Moloimet, amesema hajaridhishwa na kitendo cha mwanamke kuteuliwa kuwa Waziri wa Fedha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Mkurugenzi apinga kurejesha fedha
Na Chibura Makorongo, Itilima
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, Abdallah Malela, amepinga agizo la kurejesha fedha za halmshauri mpya ya Itilima zilizotolewa na Hazina.
Pia anadaiwa kuwatimua ofisini kwake madiwani wa Itilima waliokwenda kudai fedha hizo.
Kauli hiyo ilitolewa katika baraza la madiwani wa halmashauri ya Itilima na Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri, Khamis Mughata, ambaye alisema kamati yake ilishindwa kudai fedha hizo kutokana na mkurugenzi huyo kuwafukuza...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200324_120945_363.jpg)
DC.DAQARRO APINGA MACHINGA KUTOZWA FEDHA SOKO LA MADINI ASEMA MAAGIZO YA RAIS YAFUATWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZbJjqpmFBVM/XnnuVrzduNI/AAAAAAAAIvE/vLD22WJac0AgE87ntDJvLzkTCZ1UfVdlACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_120945_363.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini Gabriel Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakiongea na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ametaka wamachinga wasibughuziwe wa kutozwa michango ndani ya Jiji hilo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LTzVIRKd03E/Xnnu18pnezI/AAAAAAAAIvc/vBXkTjy6ysgRyrrdtLUmQuy7V-lwp7T1QCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123610_792.jpg)
Pichani ni sehemu ya risiti zisizo za Efds ambazo wamachinga kwenye Soko la madini jijini Arusha wamekuwa wakitozwa kiasi cha tsh.300 kwa siku kupata huduma sokoni humo huku wakiwa na vitambulisho vya machinga
![](https://1.bp.blogspot.com/-nFY4BDwNdtc/Xnnu8FNn-lI/AAAAAAAAIvg/xLaOw1zmu_0g3QCsJyciWsn7GETpehAWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200324_123710_025.jpg)
Mkuu wa soko la...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Wakosoa uteuzi wa manaibu wizara ya fedha
Wadau mbalimbali wa uchumi, wamekosoa uteuzi wa Manaibu Waziri wa Wizara ya Fedha, wakisema uteuzi huo haujalenga mikakati ya kuleta maboresho ya kuondoa changamoto zilizopo katika wizara hiyo.
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC
10 years ago
Vijimambo16 Apr
WAZIRI KIVULI WA ELIMU APINGA SERIKALI KUWATAKA WALIMU KUJIELEZA KWA WAKUU WA MIKOA
Na MwandishiWetu
WAZIRI kivuli wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Suzan Lymo, amepinga kitendo cha serikali cha kuwataka walimu waliofunga shule kutokana na uhaba wa chakula waende wakajieleze kwa Mkuu wa Mkoa kutokana na hatua hiyo.
Suzan, alitoa kauli hiyo baada ya serikali kudai...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MHE. OMAR YUSSUF MZEE AWASILISHA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Saa 36 muhimu uteuzi wa Waziri Mkuu
Baada ya wabunge kumchagua Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la 11 jana, anayesubiriwa ni Waziri Mkuu mpya ambaye anatarajiwa kujulikana saa 36 zijazo. Â Â Â
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania