Saa 36 muhimu uteuzi wa Waziri Mkuu
Baada ya wabunge kumchagua Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la 11 jana, anayesubiriwa ni Waziri Mkuu mpya ambaye anatarajiwa kujulikana saa 36 zijazo. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo14 Nov
Ratiba Spika, uteuzi Waziri Mkuu hadharani
SPIKA wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatarajiwa kuchaguliwa mjini hapa Jumanne ijayo, ratiba ya Bunge hilo imeeleza. Kutokana na ratiba hiyo, ni wazi Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitalazimika kumtaja mgombea wake atakayekuwa na nafasi kubwa ya kuwa Spika kati ya kesho na keshokutwa na kumaliza mvutano wa nani anafaa kuwa spika, baada ya wanachama 22 kujitokeza mpaka jana kuwania nafasi hiyo.
11 years ago
Habarileo09 May
JK afanya uteuzi TRA, azungumza na Waziri Mkuu wa China
RAIS Jakaya Kikwete amemteua, Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
9 years ago
StarTV16 Nov
Rais aaswa kuangalia uchapakazi, uadilifu, uzalendo uteuzi wa Waziri Mkuu
Rais John Magufuli ameshauriwa kumteuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kuangalia vigezo vya uchapakazi, uadilifu na uzalendo ili aweze kusimamia misingi ya uongozi na kuchangia mabadiliko ya kweli nchini.
Rai hiyo inaenda sambamba na utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati elimu, afya, upunguzaji mfumuko wa bei katika bidhaa pamoja na ajira vikitakiwa kupewa kipaumbele.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu sasa masikio na macho ya Watanzania yanaelekezwa Mjini Dodoma ambapo majibu ya nani...
10 years ago
Vijimambo12 Jun
WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATOA SAA 30, ATAKA KUPATA MAJIBU KUHUSU KIWANDA CHA NYAMA MBEYA
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Ijumaa, Agosti Mosi, 2014) wakati akizindua Kongamano la siku tatu la Uwekezaji la Mikoa ya Iringa, Njombe na Mbeya la mwaka 2014 ambalo limeanza leo kwenye ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
“Mbeya inaweza kuwa na fursa kubwa ya viwanda vya usindikaji nyama, unga wa mahindi ili kuongeza thamani ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
UJUMBE MUHIMU SAA 24 ZIJAZO TAFADHALI SAMBAZA
Kuna taarifa watu wanakamatwa wakikusanyika makundi tu , Polisi Zanzibar imeshatoa tamko kuwa Huruhusiwi mkusanyiko zaidi ya watu wa TATU au vyombo vyake vitachukua hatua .. Epuka mazungumzo ya siasa hasa kwenye madaladala ,maskani, sokoni ,madukani […]
The post UJUMBE MUHIMU SAA 24 ZIJAZO TAFADHALI SAMBAZA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
VijimamboWaziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
11 years ago
Michuzi08 Mar
TAARIFA MUHIMU: Semina ya wajumbe wa Bunge maalum imeahirishwa mpaka saa tisa mchana leo.
Hii ni kutokana a kamati ya maridhiano inayopitia vifungu ilivyokuwa inafanyia kazi kuomba mda zaidi.Hivyo wajumbe wote wa Bunge maalum wanaombwa kufika Bungeni kuendelea na semina hiyo saa tisa alasiri badala ya saa nnne asubuhi.
Imetolewa na: Katibu wa...
10 years ago
GPLKAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW