Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais aaswa kuangalia uchapakazi, uadilifu, uzalendo uteuzi wa Waziri Mkuu

 

Rais John Magufuli ameshauriwa kumteuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kuangalia vigezo vya uchapakazi, uadilifu na uzalendo ili aweze kusimamia misingi ya uongozi na kuchangia mabadiliko ya kweli nchini.

Rai hiyo inaenda sambamba na utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati elimu, afya, upunguzaji mfumuko wa bei katika bidhaa pamoja na ajira vikitakiwa kupewa kipaumbele.

Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu sasa masikio na macho ya Watanzania yanaelekezwa Mjini Dodoma ambapo majibu ya nani...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

9 years ago

Michuzi

TANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.

Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...

 

9 years ago

Habarileo

Watumishi wa umma kusaini ahadi ya uadilifu, uzalendo

VIONGOZI na watumishi wote wa umma nchini wanatakiwa kusaini hati mpya ya Ahadi ya Uadilifu ya Uzalendo, ikiwa ni dhamira ya kuwa na mwenendo wa kimaadili kwa maana ya kuunga mkono kampeni ya kitaifa ya maadili na mapambano dhidi ya rushwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uzalendo, Uadilifu na Maslahi ya Taifa: Wajibu wa Vyombo vya Habari Jamii

DSC_0219

Mshehereshaji kwenye madhimisho ya siku ya redio duniani, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu, Arusha

Vyombo vya habari hususan redio za jamii zimetakiwa kutanguliza  uzalendo na kutetea maslahi ya taifa ili kuliepusha taifa katika migogoro na mitafaruku inayoweza kusababisha...

 

10 years ago

GPL

UZALENDO, UADILIFU NA MASLAHI YA TAIFA: WAJIBU WA VYOMBO VYA HABARI JAMII‏

Mshehereshaji kwenye madhimisho ya siku ya redio duniani, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha, Nyerembe Munasa akizungumza katika ufunguzi wa kuadhimisha siku ya redio duniani iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha.… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Saa 36 muhimu uteuzi wa Waziri Mkuu

Baada ya wabunge kumchagua Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa Spika wa Bunge la 11 jana, anayesubiriwa ni Waziri Mkuu mpya ambaye anatarajiwa kujulikana saa 36 zijazo.     

 

9 years ago

Habarileo

Ratiba Spika, uteuzi Waziri Mkuu hadharani

SPIKA wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatarajiwa kuchaguliwa mjini hapa Jumanne ijayo, ratiba ya Bunge hilo imeeleza. Kutokana na ratiba hiyo, ni wazi Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitalazimika kumtaja mgombea wake atakayekuwa na nafasi kubwa ya kuwa Spika kati ya kesho na keshokutwa na kumaliza mvutano wa nani anafaa kuwa spika, baada ya wanachama 22 kujitokeza mpaka jana kuwania nafasi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

JK afanya uteuzi TRA, azungumza na Waziri Mkuu wa China

Rished BadeRAIS Jakaya Kikwete amemteua, Rished Bade kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA NAIBU WAZIRI WA AFYA

Dkt. Godwin Oloyce Mollel

Na Mwandishi Wetu

CHATO, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Dkt. Godwin Oloyce Mollel ambaye ni Mbunge wa Siha kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.Hayo yamebainishwa muda huu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu mjini Chato, Gerson Msigwa.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Dkt. Mollel unaanza leo tarehe 16 Mei, 2020.Dkt. Mollel anachukua nafasi ya Dkt. Faustine Engelbert...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani