Watumishi wa umma kusaini ahadi ya uadilifu, uzalendo
VIONGOZI na watumishi wote wa umma nchini wanatakiwa kusaini hati mpya ya Ahadi ya Uadilifu ya Uzalendo, ikiwa ni dhamira ya kuwa na mwenendo wa kimaadili kwa maana ya kuunga mkono kampeni ya kitaifa ya maadili na mapambano dhidi ya rushwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4KOdcTgM3P8/VmV8Cxmc5pI/AAAAAAAIKsw/UA8ihA1vSPk/s72-c/img_9238.jpg)
WATUMISHI WA UMMA KUSAINI KIAPO CHA AHADI NA UADILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-4KOdcTgM3P8/VmV8Cxmc5pI/AAAAAAAIKsw/UA8ihA1vSPk/s640/img_9238.jpg)
Na Lilian Lundo-MaelezoOFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeanza rasmi kutekeleza Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma nchini ambao ulizinduliwa Agosti Mosi mwaka huu.
Akiongea na vyombo vya habari leo, Katibu Mkuu Hab Mkwizu amesema utekelezaji huo umeanza...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI IKULU JIJINI DAR ES ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s640/u1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U_tltq94G1g/Vc4WNWtlOLI/AAAAAAAHw0Y/M6ocTVnIUlk/s640/u2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVYh2YBy4Oo/Vc4WMtrhQvI/AAAAAAAHw0M/0CZ0XQc7T5c/s640/u5.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Dec
Sekta binafsi sasa kusaini fomu ya ahadi ya uadilifu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) imetaka kampuni na taasisi binafsi kusaini fomu za ahadi ya uadilifu ili kupambana na rushwa, ufisadi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cZCmd-viW6Q/VK1GatcvRfI/AAAAAAAG71A/f4OwdyMr4CU/s72-c/unnamedb1.jpg)
AG MASAJU: WATUMISHI WA UMMA TUFANYE KAZI KWA UZALENDO
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju amewakumbusha watumishi wa umma katika sekta ya sheria kufanya kazi kwa ushirikiano na uzalendo ili kulinda maslahi ya taifa.
Bw. Masaju, ambaye ameteuliwa na kuapishwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo, amefafanua kuwa watumishi wa umma wanapozingatia uzalendo katika utendaji wao, wanapata nguvu ya kusimama na kukemea maovu.
Bw. Masaju ameyasema hayo leo (Jumatano, Januari 7, 2015) jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s72-c/Jakaya_Kikwete.jpg)
Ahadi ya Uadilifu itaimarisha maadili ya kibiashara, huduma kwa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s400/Jakaya_Kikwete.jpg)
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kairuki ahimiza uadilifu kwa watumishi wa umma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema kila mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu na uadilifu bila kutoka nje ya mstari. Aliyasema hayo katika kikao kazi na wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s72-c/AHADI.jpg)
Viongozi wa umma epukeni kukili Ahadi ya Uadilifu kama kasuku: Nsekela
![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s640/AHADI.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WlxbITnie0A/XlkPpYt4CiI/AAAAAAALf0c/2KATBVVgYVkzvIISI2KEVOfGv5hQOkawwCLcBGAsYHQ/s640/MAJAJI.jpg)
viongozi wa mkoa wa Mbeya (Hawapo pichani) walioshiriki mafunzo ya maadili kwa viongozi wa umma hivi karibuni katika ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-WKPuamJ3IoY/XlkPpVRZwxI/AAAAAAALf0Y/KZnqvuwTn0s1Aft7-AZiJFr0Oyub8luXgCLcBGAsYHQ/s640/VIONGOZI.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Aug
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Uzalendo, Uadilifu na Maslahi ya Taifa: Wajibu wa Vyombo vya Habari Jamii
Mshehereshaji kwenye madhimisho ya siku ya redio duniani, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Arusha
Vyombo vya habari hususan redio za jamii zimetakiwa kutanguliza uzalendo na kutetea maslahi ya taifa ili kuliepusha taifa katika migogoro na mitafaruku inayoweza kusababisha...