WATUMISHI WA UMMA KUSAINI KIAPO CHA AHADI NA UADILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-4KOdcTgM3P8/VmV8Cxmc5pI/AAAAAAAIKsw/UA8ihA1vSPk/s72-c/img_9238.jpg)
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi na Watendaji Wakuu wa ofisi zilizo chini yake katika kikao cha kuhimiza uwajibikaji kilichofanyika ofisini kwake.
Na Lilian Lundo-MaelezoOFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeanza rasmi kutekeleza Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma nchini ambao ulizinduliwa Agosti Mosi mwaka huu.
Akiongea na vyombo vya habari leo, Katibu Mkuu Hab Mkwizu amesema utekelezaji huo umeanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Aug
Watumishi wa umma kusaini ahadi ya uadilifu, uzalendo
VIONGOZI na watumishi wote wa umma nchini wanatakiwa kusaini hati mpya ya Ahadi ya Uadilifu ya Uzalendo, ikiwa ni dhamira ya kuwa na mwenendo wa kimaadili kwa maana ya kuunga mkono kampeni ya kitaifa ya maadili na mapambano dhidi ya rushwa.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI IKULU JIJINI DAR ES ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s640/u1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U_tltq94G1g/Vc4WNWtlOLI/AAAAAAAHw0Y/M6ocTVnIUlk/s640/u2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVYh2YBy4Oo/Vc4WMtrhQvI/AAAAAAAHw0M/0CZ0XQc7T5c/s640/u5.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Dec
Sekta binafsi sasa kusaini fomu ya ahadi ya uadilifu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) imetaka kampuni na taasisi binafsi kusaini fomu za ahadi ya uadilifu ili kupambana na rushwa, ufisadi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s72-c/Jakaya_Kikwete.jpg)
Ahadi ya Uadilifu itaimarisha maadili ya kibiashara, huduma kwa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s400/Jakaya_Kikwete.jpg)
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kairuki ahimiza uadilifu kwa watumishi wa umma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema kila mtumishi wa umma anatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu na uadilifu bila kutoka nje ya mstari. Aliyasema hayo katika kikao kazi na wafanyakazi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s72-c/AHADI.jpg)
Viongozi wa umma epukeni kukili Ahadi ya Uadilifu kama kasuku: Nsekela
![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s640/AHADI.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WlxbITnie0A/XlkPpYt4CiI/AAAAAAALf0c/2KATBVVgYVkzvIISI2KEVOfGv5hQOkawwCLcBGAsYHQ/s640/MAJAJI.jpg)
viongozi wa mkoa wa Mbeya (Hawapo pichani) walioshiriki mafunzo ya maadili kwa viongozi wa umma hivi karibuni katika ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-WKPuamJ3IoY/XlkPpVRZwxI/AAAAAAALf0Y/KZnqvuwTn0s1Aft7-AZiJFr0Oyub8luXgCLcBGAsYHQ/s640/VIONGOZI.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Aug
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s72-c/PIX%2B02.jpg)
WATUMISHI WA UMMA WA MKOA WA MBEYA NA NYANDA ZA JUU KUSINI WATAKIWA KUJIENDELEZA KUPITIA TAWI LA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA TAWI LA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-eegszFxHmBY/VeauaIT8rYI/AAAAAAAABlM/tyezAN8UoTM/s640/PIX%2B02.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,HAB Mkwizu, akizungumza wakati wa mahafali ya 22 ya Chuo cha Utumishi Tanzania (TPSC) na ya kwanza kwa tawi la Mbeya hivi karibuni Jijini Mbeya.
Sehemu ya wahitimu wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Tawi la Mbeya wakiwa...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Kiwango cha mshahara watumishi wa umma chapanda
WASTANI wa malipo ya mshahara kwa watumishi wa umma umeongezeka kutoka wastani wa mshahara wa sh. 74,183 mwaka 2001 hadi 562,119 mwaka 2014. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri...