AHADI YA UADILIFU: KAMPENI YA KITAIFA YA MAADILI NA MAPAMBANO YARUSHWA UNAOJUMUISHA SEKTA YA UMMA NA BINAFSI -1
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA HATI ZA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI, WATUMISHI WA UMMA NA SEKTA BINAFSI IKULU JIJINI DAR ES ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QpQWJyAacNI/Vc4WNbebvxI/AAAAAAAHw0Q/LqNSl7V7aJU/s640/u1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U_tltq94G1g/Vc4WNWtlOLI/AAAAAAAHw0Y/M6ocTVnIUlk/s640/u2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zVYh2YBy4Oo/Vc4WMtrhQvI/AAAAAAAHw0M/0CZ0XQc7T5c/s640/u5.jpg)
9 years ago
Habarileo24 Dec
Sekta binafsi sasa kusaini fomu ya ahadi ya uadilifu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) imetaka kampuni na taasisi binafsi kusaini fomu za ahadi ya uadilifu ili kupambana na rushwa, ufisadi na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s72-c/Jakaya_Kikwete.jpg)
Ahadi ya Uadilifu itaimarisha maadili ya kibiashara, huduma kwa umma
![](http://3.bp.blogspot.com/-kRluVpyc_JM/VdOZUSdwHGI/AAAAAAAHyC8/VYF7l9BrFok/s400/Jakaya_Kikwete.jpg)
“Suala la maadili si jipya, Watanzania watakumbuka tangu enzi la Azimio la Arusha misingi ya maadili imekuwa ikisisitizwa kama kijenzi muhimu cha ufanisi katika utoaji wa huduma kwa umma,” ni kauli ya Tixon Nzunda, Naibu Kamishna wa Maadili aliyoitoa siku ya uzinduzi wa Ahadi ya Uadilifu, Agosti 14, 2015, Ikulu Dar es Salaam.
Kauli hii inasadifu ninachotaka kukieleza hapa katika makala haya na kwa hakika kumpa kongole Rais anayemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MHGMY208y5E/Vc38PPJe1DI/AAAAAAAHwqY/BQFcayyB8bo/s72-c/Jakaya-Kikwete3-2.jpg)
SEKTA BINAFSI YASAINI HATI YA UADILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-MHGMY208y5E/Vc38PPJe1DI/AAAAAAAHwqY/BQFcayyB8bo/s320/Jakaya-Kikwete3-2.jpg)
Rais alisema hayo katika wakati akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa hati hizo zinazojumuisha sekta ya Umma na Binafsi katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katika hafla hiyo, Mhe. Rais alisaini hati tatu ambazo ni Hati ya ahadi ya uadilifu ya...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Watumishi wa umma kusaini ahadi ya uadilifu, uzalendo
VIONGOZI na watumishi wote wa umma nchini wanatakiwa kusaini hati mpya ya Ahadi ya Uadilifu ya Uzalendo, ikiwa ni dhamira ya kuwa na mwenendo wa kimaadili kwa maana ya kuunga mkono kampeni ya kitaifa ya maadili na mapambano dhidi ya rushwa.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4KOdcTgM3P8/VmV8Cxmc5pI/AAAAAAAIKsw/UA8ihA1vSPk/s72-c/img_9238.jpg)
WATUMISHI WA UMMA KUSAINI KIAPO CHA AHADI NA UADILIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-4KOdcTgM3P8/VmV8Cxmc5pI/AAAAAAAIKsw/UA8ihA1vSPk/s640/img_9238.jpg)
Na Lilian Lundo-MaelezoOFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeanza rasmi kutekeleza Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma nchini ambao ulizinduliwa Agosti Mosi mwaka huu.
Akiongea na vyombo vya habari leo, Katibu Mkuu Hab Mkwizu amesema utekelezaji huo umeanza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s72-c/AHADI.jpg)
Viongozi wa umma epukeni kukili Ahadi ya Uadilifu kama kasuku: Nsekela
![](https://1.bp.blogspot.com/-tI829Mw5YCw/XlkPpsd1UsI/AAAAAAALf0g/4Fn-ZIsp_sgF1NikiK52tE5lsJ0cj6yZQCLcBGAsYHQ/s640/AHADI.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WlxbITnie0A/XlkPpYt4CiI/AAAAAAALf0c/2KATBVVgYVkzvIISI2KEVOfGv5hQOkawwCLcBGAsYHQ/s640/MAJAJI.jpg)
viongozi wa mkoa wa Mbeya (Hawapo pichani) walioshiriki mafunzo ya maadili kwa viongozi wa umma hivi karibuni katika ukumbi wa Benjamini Mkapa jijini Mbeya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-WKPuamJ3IoY/XlkPpVRZwxI/AAAAAAALf0Y/KZnqvuwTn0s1Aft7-AZiJFr0Oyub8luXgCLcBGAsYHQ/s640/VIONGOZI.jpg)
11 years ago
Michuzi04 May
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania