TANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
StarTV16 Nov
Rais aaswa kuangalia uchapakazi, uadilifu, uzalendo uteuzi wa Waziri Mkuu
Rais John Magufuli ameshauriwa kumteuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa kuangalia vigezo vya uchapakazi, uadilifu na uzalendo ili aweze kusimamia misingi ya uongozi na kuchangia mabadiliko ya kweli nchini.
Rai hiyo inaenda sambamba na utekelezaji wa ahadi zilizotolewa wakati elimu, afya, upunguzaji mfumuko wa bei katika bidhaa pamoja na ajira vikitakiwa kupewa kipaumbele.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu sasa masikio na macho ya Watanzania yanaelekezwa Mjini Dodoma ambapo majibu ya nani...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ni utumishi uliotukuka wa Kardinali Pengo
10 years ago
VijimamboWADAU WATAKA SERIKALI ZISIMAMIE UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SDGs
10 years ago
VijimamboWAFANYAKAZI WA OFISI YA TAKWIMU WAJINYAKULIA MILIONI 3 KAMA MOTISHA YA UTUMISHI ULIOTUKUKA
10 years ago
Michuzi20 May
PPRA YAIKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA
![mi1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/mi1.jpg)
10 years ago
VijimamboPPRA YAKABIDHI UTUMISHI TUZO YA UTENDAJI ULIOTUKUKA KATIKA ENEO LA UNUNUZI WA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sgqVYCtng1Y/VVxvR8dpVsI/AAAAAAAAgbI/yamH4pk8LVU/s640/tuzoppra1.jpg)
9 years ago
Habarileo27 Aug
Magufuli atikisa Tunduma, ajivunia uchapakazi
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amesema katika uongozi wake katika sekta ya ujenzi, alijikuta akifukuza kazi makandarasi 3,200 walioonesha uzembe kazini.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv11G4ysXF2z6KqQABSxdl8RsPJj0q25P59PALeyZtbpwuAl80p0xKfVYfH49PDjdyLLx22NHMoWFbX7V2xleTuk/150715121558_magufuli_640x360_bbc_nocredit.jpg?width=650)
MAGUFULI; REKODI YAKE YA UCHAPAKAZI INAIBEBA CCM