MAGUFULI; REKODI YAKE YA UCHAPAKAZI INAIBEBA CCM
![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv11G4ysXF2z6KqQABSxdl8RsPJj0q25P59PALeyZtbpwuAl80p0xKfVYfH49PDjdyLLx22NHMoWFbX7V2xleTuk/150715121558_magufuli_640x360_bbc_nocredit.jpg?width=650)
Mhe. John Pombe Magufuli anayegombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye mkutano wa kampeni. Harakati za uchaguzi nchini zipo katika kipindi muhimu cha kampeni ambapo mwaka huu wa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, Watanzania wameamka zaidi kwa kufuatilia na kusikiliza sera na vipaumbele vya wagombea mbalimbali wa nafasi zote kutoka vyama vya siasa vitakavyoshiriki uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Sep
CAG Utouh ameacha rekodi ya uchapakazi
9 years ago
Habarileo27 Aug
Magufuli atikisa Tunduma, ajivunia uchapakazi
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli amesema katika uongozi wake katika sekta ya ujenzi, alijikuta akifukuza kazi makandarasi 3,200 walioonesha uzembe kazini.
9 years ago
MichuziTANO ZA MAGUFULI . UADILIFU .UCHAPAKAZI .UFUATILIAJI .UTEKELEZAJI NA UTUMISHI ULIOTUKUKA
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Tano za Magufuli, Uadilifu, Uchapakazi, Ufuatiliaji, Utekelezaji na Utumishi Uliotukuka
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka wananchi kumchagua ili awe rais wa tano ajaye wa Tanzania huku akiahidi kushughulikia masuala mbalimbali ya wananchi na hivyo kuliletea Taifa maendeleo kwa muda wote atakaokuwepo madarakani.
Akizungumza na wananchi wa mkoani Lindi katika muendelezo wa kampeni zake, Dk Magufuli alisema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, pamoja na mambo mengine atakayoyafanya atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s72-c/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
KIPAJI KINGINE CHA MAGUFULI NA UCHAPAKAZI WAKE HIKI HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-53VxoV5iluE/VaKFChcAnBI/AAAAAAABOgM/_4yDjISQeRQ/s640/kikwete%2Bigung%2B3.jpg)
Wanamichezo wamekuwa wakijiuliza kama mgombea wa urais wa CCM, John Pombe Magufuli ni mpenda michezo.Ingawa wapo wanaoamini ni mpenda michezo, lakini inaonekana wazi kuwa anapenda sanaa.Kipaji cha sanaa ambacho amekuwa hakionyesha mara kwa mara ni upigaji wa ngoma ambazo ikitokea ameona watu wanazitandika, amekuwa hajivungi kama picha hii inavyoonyesha.Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM baada ya kuwashinda wagombea wengine 37 walioonyesha nia.CCM kupitia mwenyekiti wake, Jakaya...
9 years ago
Bongo524 Nov
Magufuli atrend kwenye mitandao ya kijamii Kenya, wasifia uchapakazi wake
![john-magufuli-presidential-inauguration](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/john-magufuli-presidential-inauguration-300x194.jpg)
Uchapakazi wa Rais Dkt John Magufuli unatuma ujumbe si kwa maafisa wa Tanzania pekee, bali na nchi za jirani pia na kuwaacha viongozi wa nchi hizo kwenye wakati mgumu.
Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za Magufuli na wananchi wake wanatamani mtu kama yeye.
Kwa kipindi kifupi alichoingia madarakani, Magufuli amefanya mambo makubwa na wananchi wamependa.
Ziara yake ya kushtukiza kwenye hospitali ya Muhimbili ilifichua uovu...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s72-c/IMG_6785.jpg)
WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdilKsS-2C4/VmQ_4lGhtDI/AAAAAAAIKeU/cZIi9Dt-Vps/s640/IMG_6785.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4uxGc5E8chU/VmQ_7JWOFxI/AAAAAAAIKeg/yp3rFTEtnHo/s640/IMG_6788_1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aweka rekodi
MAELFU ya watu wanaokwenda katika mikutano ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli imeanza kusimamisha shughuli za miji mbalimbali anayokwenda.