Chadema doubts Kikwete on escrow
Chadema has expressed concern whether President Jakaya Kikwete will fully execute the Parliament’s resolutions on Tegeta escrow account culprits.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen16 Jul
Chadema wants external auditor in $250m escrow
The main opposition party wants an external audit for the sale of Independent Power Tanzania (IPTL) that led to the questionable withdrawal of Sh201 billion in escrow funds from the Central Bank of Tanzania (BoT)
10 years ago
Vijimambo22 Dec
Chadema waibua mapya kashfa ya Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ntagazwa-22Dec2014.jpg)
Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajia kutoa maamuzi ya maazimio yaliyotolewa na Bunge kuhusiana na sakata la uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti Tegeta Escrow, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua mapya kwa kutaja orodha mpya ya viongozi wanaopaswa kuwajibishwa kutokana na kashfa hiyo.
Aidha, Chadema kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdrahaman Kinana, anafahamu jinsi uchotwaji fedha...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha
Masikio ya Watanzania leo yameelekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete watakapokuwa wakisikiliza hotuba yake kwa Taifa inayotarajiwa kujibu maswali yapatayo 10 ambayo yanatarajiwa kutegua kitendawili cha kashfa ya uchotaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
IPPmedia30 Dec
Chadema still unimpressed with govt's take on escrow scan saga
IPPmedia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) has said that it will persuade legislators forming the Coalition of People's Constitution (UKAWA) to take to task the government over failure to act accordingly on some top officials implicated in the Tegeta ...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kikwete kutegua kitendawili Escrow?
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo atalihutubia taifa kuyatolea ufafanuzi masuala nyeti yanayoligusa taifa hilo.
10 years ago
Daily News24 Dec
Many hail Kikwete on Escrow action
Daily News
Daily News
THE youth wing of the ruling CCM, UVCCM, joined a section of Tanzanians from all walks of life in hailing the televed address to the nation on Monday by President Jakaya Kikwete, which focused on the controversial Tegeta Escrow Account saga as “a step in ...
JK should have hit harder on escrow account billionsIPPmedia
Tanzania president fires minister over corruptionNew Vision
Murambatsvina critic Tibaijuka fired over $1 million...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kikwete achochea mjadala Escrow
Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow imepokewa kwa hisia tofauti na wasomi, wanasiasa na wananchi.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Rais Kikwete kuzungumzia sakata la Escrow
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia taifa leo wakati atakapozungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
Kikwete na mambo manne hukumu ya Escrow kesho
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JKdodoma(4).jpg)
Katika hukumu ambayo Rais Kikwete ataitoa kesho, suala la maazimio ya Bunge kuhusu kuwawajibisha viongozi waandamizi wa serikali ambao aliwateua, linatarajiwa kupata ufumbuzi.
Hawa ni pamoja na mawaziri, Profesa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania