Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha
Masikio ya Watanzania leo yameelekezwa kwa Rais Jakaya Kikwete watakapokuwa wakisikiliza hotuba yake kwa Taifa inayotarajiwa kujibu maswali yapatayo 10 ambayo yanatarajiwa kutegua kitendawili cha kashfa ya uchotaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM22 Dec
JK KUTENGUA KITENDAWILI CHA ESCROW LEO?
Maswali hayo yanatokana na maazimio ya Bunge ambayo yalionekana kuvuta hisia za wananchi katika kona mbalimbali za nchi ambako walikuwa wanafuatilia moja kwa moja mjadala wa Bunge hadi kupitishwa maazimio hayo.
Hotuba hiyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2L_mtRvSSxg/VJsy2KjEmnI/AAAAAAAG5rM/-lmDrQRfxdw/s72-c/Untitled1.png)
WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAMPONGEZA RAIS KUTEGUA KITENDAWILI CHA TEGETA ESCROW
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo na Elimu ya Juu Nchini wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutoa maamzi kwa wale ambao walihusika katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kwa kutengua uteuzi wake kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema pamoja na kusimamishwa kazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliackim Maswi.Akizungumza na...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kikwete kutegua kitendawili Escrow?
10 years ago
Habarileo05 Nov
Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni
JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Kitendawili cha wanajeshi wa UG S.Kusini
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Kitendawili cha Waziri Mkuu
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Kitendawili cha Bajeti kuteguliwa leo
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Nani atategua kitendawili cha Westgate?
10 years ago
Habarileo27 Apr
Ukawa sasa kutegua kitendawili cha majimbo
KITENDAWILI cha mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi kulingana na makubaliano ya Ukawa, kinatarajiwa kutenguliwa wiki hii viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo vitakapokutana kukamilisha utaratibu wa kuachiana.