Nani atategua kitendawili cha Westgate?
Maswali mengi yameibuka tangu shambulio la Westgate nchini Kenya ikiwemo, majina ya walioshambulia na fidia kwa waathiriwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNANI WA KUTEGUA KITENDAWILI CHA WAMACHINGA JANGWANI?
Baadhi ya wafanyabiashara ndogondogo waliokuwa wameanza kujenga mabanda eneo la Jangwani jijini Dar wakiwa kwenye mabanda yao. Hiki ni kibao kinachoonesha mpaka wa kufanyia biashara eneo hilo.…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
Historia yake
Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Kitendawili cha Waziri Mkuu
Baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amebaki na kitendawili kikuu cha kuteguliwa cha kumteua nani atakuwa msaidizi mkuu wa shughuli za Serikali (Waziri Mkuu).
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Kitendawili cha wanajeshi wa UG S.Kusini
Wabunge nchini UG leo wanajadili hatua ya serikali kuwapeleka bila idhini ya bunge wanajeshi wa taifa hilo nchini Sudan Kusini.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Kitendawili cha Bajeti kuteguliwa leo
Macho na masikio ya wananchi leo yatahamia bungeni mjini Dodoma wakati Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum atakapokuwa akisoma Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15.
10 years ago
CloudsFM22 Dec
JK KUTENGUA KITENDAWILI CHA ESCROW LEO?
Maswali hayo yanatokana na maazimio ya Bunge ambayo yalionekana kuvuta hisia za wananchi katika kona mbalimbali za nchi ambako walikuwa wanafuatilia moja kwa moja mjadala wa Bunge hadi kupitishwa maazimio hayo.
Hotuba hiyo...
10 years ago
Mwananchi25 Jul
CUF wajifungia kutegua kitendawili cha Ukawa
>Chama cha Wananchi (CUF) kinafanya kikao chake cha Baraza Kuu la Uongozi leo mjini Zanzibar huku wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakisubiri kwa hamu kitakachoamuliwa kuhusu mgombea urais wa umoja huo.
10 years ago
Habarileo27 Apr
Ukawa sasa kutegua kitendawili cha majimbo
KITENDAWILI cha mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi kulingana na makubaliano ya Ukawa, kinatarajiwa kutenguliwa wiki hii viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo vitakapokutana kukamilisha utaratibu wa kuachiana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania