Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NANI WA KUTEGUA KITENDAWILI CHA WAMACHINGA JANGWANI?

Baadhi ya wafanyabiashara ndogondogo waliokuwa wameanza kujenga mabanda eneo la Jangwani jijini Dar wakiwa kwenye mabanda yao. Hiki ni kibao kinachoonesha mpaka wa kufanyia biashara eneo hilo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII

 MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akiongozana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, (kulia), akiwapungia wana CCM waliofika kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Julai 8, 2015. 
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...

 

10 years ago

Habarileo

Ukawa sasa kutegua kitendawili cha majimbo

Wafuasi wa vyama vinavyounda Ukawa wakiwa katika mkutano wa siasa.KITENDAWILI cha mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi kulingana na makubaliano ya Ukawa, kinatarajiwa kutenguliwa wiki hii viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo vitakapokutana kukamilisha utaratibu wa kuachiana.

 

10 years ago

Mwananchi

CUF wajifungia kutegua kitendawili cha Ukawa

>Chama cha Wananchi (CUF) kinafanya kikao chake cha Baraza Kuu la Uongozi leo mjini Zanzibar huku wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakisubiri kwa hamu kitakachoamuliwa kuhusu mgombea urais wa umoja huo.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAMPONGEZA RAIS KUTEGUA KITENDAWILI CHA TEGETA ESCROW

NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU  YA JAMII, DAR
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo na Elimu ya Juu Nchini wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutoa maamzi kwa wale ambao walihusika katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kwa kutengua uteuzi wake kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema  pamoja na kusimamishwa kazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliackim Maswi.Akizungumza na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikwete kutegua kitendawili Escrow?

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo atalihutubia taifa kuyatolea ufafanuzi masuala nyeti yanayoligusa taifa hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nani atategua kitendawili cha Westgate?

Maswali mengi yameibuka tangu shambulio la Westgate nchini Kenya ikiwemo, majina ya walioshambulia na fidia kwa waathiriwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masika yametegua kitendawili uwanja wa Yanga Jangwani

KITENDAWILI ni usemi wa kifumbo unaohitaji jibu la papo kwa papo. Ni maneno ya mafumbo yanayofanya maana ya kitu isijulikane kwa urahisi. Mfano: ‘Macho’ ni jibu la ‘Popoo mbili huvuka...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP

Historia yake Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).

 

9 years ago

Mwananchi

Kitendawili cha Waziri Mkuu

Baada ya Dk John Magufuli kuapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amebaki na kitendawili kikuu cha kuteguliwa cha kumteua nani atakuwa msaidizi mkuu wa shughuli za Serikali (Waziri Mkuu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani