Kikwete kutegua kitendawili Escrow?
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete leo atalihutubia taifa kuyatolea ufafanuzi masuala nyeti yanayoligusa taifa hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2L_mtRvSSxg/VJsy2KjEmnI/AAAAAAAG5rM/-lmDrQRfxdw/s72-c/Untitled1.png)
WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WAMPONGEZA RAIS KUTEGUA KITENDAWILI CHA TEGETA ESCROW
SHIRIKISHO la Wanafunzi wa Vyuo na Elimu ya Juu Nchini wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutoa maamzi kwa wale ambao walihusika katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kwa kutengua uteuzi wake kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi , Profesa Anna Tibaijuka, kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema pamoja na kusimamishwa kazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliackim Maswi.Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s72-c/JK_KINANA2.jpg)
RAIS KIKWETE ATUA DODOMA, KUTEGUA KITENDAWILI CHA NANI MTEULE WA CCM KUWANIA URAIS WA TANZANIA WIKI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-UEYO3vWQ1lk/VZ00PFAVSFI/AAAAAAAAVxc/9AvLmue8r7o/s640/JK_KINANA2.jpg)
Mwenyekiti huyo wa CCM amewasili na kuanza kazi mara moja ya kuongoza kikao cha kamati ya maadili ili kupokea taarifa za watia nia wa CCM, kabla ya kuanza kuwajadili na kupunguza majina kutoka 39 hadi matano, kazi itakayofanywa na Kamati Kuu ya chama hicho inayotarajiwa kukutana Alhamisi Julai...
10 years ago
Habarileo27 Apr
Ukawa sasa kutegua kitendawili cha majimbo
KITENDAWILI cha mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi kulingana na makubaliano ya Ukawa, kinatarajiwa kutenguliwa wiki hii viongozi wa vyama vinavyounda umoja huo vitakapokutana kukamilisha utaratibu wa kuachiana.
10 years ago
Mwananchi25 Jul
CUF wajifungia kutegua kitendawili cha Ukawa
10 years ago
GPLNANI WA KUTEGUA KITENDAWILI CHA WAMACHINGA JANGWANI?
10 years ago
Habarileo05 Nov
Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni
JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.
10 years ago
CloudsFM22 Dec
JK KUTENGUA KITENDAWILI CHA ESCROW LEO?
Maswali hayo yanatokana na maazimio ya Bunge ambayo yalionekana kuvuta hisia za wananchi katika kona mbalimbali za nchi ambako walikuwa wanafuatilia moja kwa moja mjadala wa Bunge hadi kupitishwa maazimio hayo.
Hotuba hiyo...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Kitendawili cha Escrow: Chadema yaongeza orodha
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Kikwete ategua kitendawili